MR.PRESIDENT
Member
- May 18, 2012
- 64
- 14
Watu wengine bwana unapost bila kutaja ni mkoa gani we unafikili kila mtu anaijua tanzania yote
huko kwao picha hadi uende studiohebu wekeni hata picture basi mbona ivyo tena ?
Sasa watu wengine wanatania tu. Hayo maeneo ni ya wapi.
Watu kuweni makini wengine hapa ndo kituo chetu cha kupata habari. Msilete habari za utani.
Sasa watu wengine wanatania tu. Hayo maeneo ni ya wapi.
Watu kuweni makini wengine hapa ndo kituo chetu cha kupata habari. Msilete habari za utani.
samahani edit ni hapa Kigoma na wala sio tunaleta mambo ya utani hapa hakuna mtu anaefurahia hali hiiSamahani mleta post, ni mkoa/wilaya gani yapo hayo makanisa?
mkuu kipimo gani hichi unatupimia akili ?samahani edit ni hapa Kigoma na wala sio tunaleta mambo ya utani hapa hakuna mtu anaefurahia hali hii
Mkuu Siata fuatilia uone hii habari niya kweli kabisaJamani hayo maeneo yapo kigoma,nami pia nipo kgm ila bdo cjapata hzo hbr.
Wala usinikirie vibaya mkuu lengo langu nikwambie nmesha edit heading yangu,kumradhi kama umenielewa vibayamkuu kipimo gani hichi unatupimia akili ?
Samahani mleta post, ni mkoa/wilaya gani yapo hayo makanisa?
Bushabani na Gungu kote ni ndani ya Manispaa ya Kigoma-Ujiji. Hiyo Bushabani ni Ujiji mjini. Hiyo sehemu nyingine ni Kigoma Vijijini Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa Zitto Kabwe.
Mkuu sina utani wowote na mtu kwani hata mimi nakasirishwa sana na hii hali.Jamani utani mwingine kama kweli ni utani haufai!. Watu wasije wakaanza kuchukua hatua za kujihami, visasi ama kuunga mkono.