Hahaha mimi makande nimekula mara moja yalikuwa na nazi, nyama, vitunguu na chumvi. Zamani sana hata sikumbuki ila ilikuwa Moro kwa rafiki yangu mpare. I think 1983. Natamani nione mtu anayapika.achana nae huyo...........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha mimi makande nimekula mara moja yalikuwa na nazi, nyama, vitunguu na chumvi. Zamani sana hata sikumbuki ila ilikuwa Moro kwa rafiki yangu mpare. I think 1983. Natamani nione mtu anayapika.achana nae huyo...........
Aiseee huo mwaka sidhani hata kama wazazi wangu wanajuana.Hahaha mimi makande nimekula mara moja yalikuwa na nazi, nyama, vitunguu na chumvi. Zamani sana hata sikumbuki ila ilikuwa Moro kwa rafiki yangu mpare. I think 1983. Natamani nione mtu anayapika.
Duh mlikula makande shule hata nyie? Sisi ilikuwa ugali kwa maharagwe mchana, wali kwa nyama jioni kila siku. Ijumaa jioni samaki. Chai maziwa kila siku saa nne na saa kumi na mkate saa nne. We nataka watawala wajue wamepitia na wenyewe ila wanasahau. Sema wengi wa waliokuwa madarakani wamekuja baada ya huo uhondo.Aiseee huo mwaka sidhani hata kama wazazi wangu wanajuana.
Makande ya nyama nilikula sana shule weruweru....yenyewe unaweka mahindi...na nyama na mboga za majani....mchemsho tu unaweka chumvi basi....aiseee ni matamu sana......ingawa tangia nimalize shule sijawahi kuyapika.
Dah mlifaidi hadi samaki usiku......ila mie nashukuru hatujawahi kula ugali usiku.Duh mlikula makande shule hata nyie? Sisi ilikuwa ugali kwa maharagwe mchana, wali kwa nyama jioni kila siku. Ijumaa jioni samaki. Chai maziwa kila siku saa nne na saa kumi na mkate saa nne. We nataka watawala wajue wamepitia na wenyewe ila wanasahau. Sema wengi wa waliokuwa madarakani wamekuja baada ya huo uhondo.
Mi naona huo ni uchokozi kwa kasinde na mshana jr na werason!!
Makande yanadhoofisha kwani?
Hivi kumbe watoto wetu wanaosoma shule za santa huko Arusha Ngalenaro wameshakuwa punga?
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/17683882leo huyapendi dooooh mungu anakuona wallah
sijawai kila hiki chakula
Huo utumbo wa ngombe unachemsha pamoja na hayo makande ama dadavua mdauNyanya sikushauri weka nazi kitunguu hoho na keroti ukiyachanganya na utumbo wa ng'ombe yanakuwa matamu sana