Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 46
nani RZ1 akimwambia nani/? na yeye akiwa kama nani?we subiri Riz1 atakuja toa amri siku haswa haya maandamano yakina CHADEMA tutamuona kwenye taarifa maalum akiamrisha Shimbo afanye mambo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nani RZ1 akimwambia nani/? na yeye akiwa kama nani?we subiri Riz1 atakuja toa amri siku haswa haya maandamano yakina CHADEMA tutamuona kwenye taarifa maalum akiamrisha Shimbo afanye mambo!
Walinzi wake Gaddafi ni wanawake, na hao makanali ni wanawake pia au mchanganyiko?
Hawa ni mashujaa wa mapinduzi, wameandika historia kwenye nchi yao wamegoma kuua raia wasio na hatia!!!!!!!!!Sio rahisi kugomea amri, hiyo inaitwa amri halali ukigoma unalamba chuma baba huko ni jeshini si umangani!!!!!!!! Kudo's Gadafi Col's!!Makanali kadhaa wa Kiongozi wa Libya aliye kwenye waya mkali hivi sasa,Kanali Muhammar Gaddafi wametua bila ruhusa na ndege zao za kivita katika kisiwa cha Bahari ya Medditerrania,Malta.Walipokamatwa na kuhojiwa,Makanali hao wamedai kuwa wametorokea huko baada ya kukataa kutii amri ya kushambulia kwa mabomu umati wa waandamanaji katika mji wa Benghazi,yalipoanzia maandamano ya kumng'oa madarakani Gaddafi.Baada ya kukataa amri hiyo ya kijeshi,makanali hao walisafiri takribani umbali wa saa moja na kutua kwa dharura Malta.Bado wanashikiliwa na maofisa wa Malta kwa uchunguzi na taarifa zaidi.Je,hawa ni mashujaa au wasaliti?
Makanali kadhaa wa Kiongozi wa Libya aliye kwenye waya mkali hivi sasa,Kanali Muhammar Gaddafi wametua bila ruhusa na ndege zao za kivita katika kisiwa cha Bahari ya Medditerrania,Malta.Walipokamatwa na kuhojiwa,Makanali hao wamedai kuwa wametorokea huko baada ya kukataa kutii amri ya kushambulia kwa mabomu umati wa waandamanaji katika mji wa Benghazi,yalipoanzia maandamano ya kumng'oa madarakani Gaddafi.Baada ya kukataa amri hiyo ya kijeshi,makanali hao walisafiri takribani umbali wa saa moja na kutua kwa dharura Malta.Bado wanashikiliwa na maofisa wa Malta kwa uchunguzi na taarifa zaidi.Je,hawa ni mashujaa au wasaliti?