Tuko
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 11,178
- 7,319
Makamu wa raisi wa JMT Dk nani sijui yule (nimemsahau jina), yule mzee wa kizanzibar, yuko wapi? mzima wa afya? Mi nilidhani kwa kusafiri raisi yeye ndiye angeachiwa mikoba, lakini naona Pinda ndiye yuko responsible na kila kitu. Ameenda wapi huyu mzee?