Baada kuwa na ziara katika mikoa ya Rukwa na Mbeya hatimaye leo ameanza ziara ya siku tatu huku kama kawaida ya mkasi wake ataendelea na ufunguzi miradi mbalimbali na hatimaye kuhitimisha ziara katika ukumbi wa siasa ni kilimo katika manispaa ya Iringa.
Naomba kuwasilisha
Naomba kuwasilisha