sizy
Member
- Jun 14, 2010
- 29
- 4
Natoa pole sana kwa watanzania kwa msiba mkubwa wa ajali ya meli, ila katika hili naomba wadau mnijuze hivi huyu makamu wa kwanza kazi zake ni zipi maana namwona mara nyingi makamu wa pili ndio anayehusika na masuala yote ya kupokea ugeni wa rambi rambi, au jamaa ni box tu.