makamu wa kwanza wa rais seif sharif hamad ametembelea chuo kikuu cha Dodoma kumsifu Rais jakaya kikwete kwa uamuzi wa kujenga chuo kikubwa na cha kisasa chuo hicho ni ukombozi wa Elimu ya tanzania. chanzo tbc taarifa ya habari
Ameenda kuongzea chumvi kwenye kidonda, mradi wa ujenzi wa UDOM ni ufisadi mkubwa kuliko ufisadi wowote uliofanywa na serikali ya CCM, mbaya zaiidi ni mazingira ya udini yaliyopo sasa.
<br />Watu walizoea dini fulani kuwa minority vyuoni, mfumo unafutwa taratiiiiiibu, scientifically. JMK namwamini, kimyaaaa. Unanshangaza!
Watu walizoea dini fulani kuwa minority vyuoni, mfumo unafutwa taratiiiiiibu, scientifically. JMK namwamini, kimyaaaa. Unanshangaza!
<br />Tunaomba Mungu JK asimalize kipindi chake cha Urais ili kuinusuru nchi yetu, maana ni mzigo usiobebeka! Sana sana aishie mwaka huu!