Mwita Maranya
JF-Expert Member
- Jul 1, 2008
- 10,564
- 7,973
Ndugu wadau wa JF,
Napenda kutumia fursa hii kuwatangazia kwamba kesho kutakuwa na mkutano wa hadhara katika mtaa wa Mongolandege Kata ya Ukonga, Jimbo la Ukonga kuanzia saa nane kamili mchana. Mkutano huo umeandaliwa na uongozi wa Chadema Kata ya Ukonga.
Mgeni wa heshima katika mkutano huo atakayeongoza mashambulizi jukwaani atakuwa ni Kamanda Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar).
Wadau wote wa kata ya ukonga, kata nyingine za jimbo la ukonga, pamoja na wanademokrasia wote toka majimbo jirani ya segerea, ilala na temeke mnakaribishwa sana.
M4C with no apology!
Napenda kutumia fursa hii kuwatangazia kwamba kesho kutakuwa na mkutano wa hadhara katika mtaa wa Mongolandege Kata ya Ukonga, Jimbo la Ukonga kuanzia saa nane kamili mchana. Mkutano huo umeandaliwa na uongozi wa Chadema Kata ya Ukonga.
Mgeni wa heshima katika mkutano huo atakayeongoza mashambulizi jukwaani atakuwa ni Kamanda Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Zanzibar).
Wadau wote wa kata ya ukonga, kata nyingine za jimbo la ukonga, pamoja na wanademokrasia wote toka majimbo jirani ya segerea, ilala na temeke mnakaribishwa sana.
M4C with no apology!