figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
leo nilikuwa niwape kitu kamili lakini bahati mbaya tanesco wamekata umeme gafla.utasema walijua kama nipo naupdate jf.hii hali inakela sana.kwisha habari yangu.mia
Wanahofu reaction ya wabunge waliokuwa wanatokwa mapovu kumkandia Tundu Lissu ili waonekane wazalendo halafu leo hii uwaambie muswada umeahirishwa! Wanahisi watakuwa wameivimbisha CDM kichwa, ngoja tuone hitimisho lake.kule ccm hawa wao wameshaguundua makosa na wanaona aibu kuuondoa huo mswaada eti kisa wabunge wao wataonekana kudharauliwa maana wameshajadili....huyo wasira hana lolote kichwani anapoteza mda tu
Mwishoe utauliza ya Lema, masuala haya hayahitaji PHD bali uelewa mdogo tu. Kwani wananchi tunaolilia watoe maoni yao wana elimu gani wengi? Suala ni maslahi ya taifa ambayo viongozi wajinga wa CCM wanajifanya hawayaoni wakati yapo wazi.Hivi mzee Wassira education background yake iko vipi wadau?
Dk .Kitima anasema inabidi wawasikilize watanzania na amemwambia amsikilize Mkosamali aone alivyoiva kwani anchangia pointi,anasema Tanzzania inabid ijifunze kutoka kwa South Africa
Wanahofu reaction ya wabunge waliokuwa wanatokwa mapovu kumkandia Tundu Lissu ili waonekane wazalendo halafu leo hii uwaambie muswada umeahirishwa! Wanahisi watakuwa wameivimbisha CDM kichwa, ngoja tuone hitimisho lake.
katika list ya wajinga nchii hii wasira ni nambari 2...
uko sahihi kabisa mdau,ila mabadiliko ya kweli yapo karibuni,na hao viongozi wajinga watahukumiwa na mabadiliko hayoMwishoe utauliza ya Lema, masuala haya hayahitaji PHD bali uelewa mdogo tu. Kwani wananchi tunaolilia watoe maoni yao wana elimu gani wengi? Suala ni maslahi ya taifa ambayo viongozi wajinga wa CCM wanajifanya hawayaoni wakati yapo wazi.
By Implication condition utakuwa unamjua.Sitaki mjua Namba 1