Makamu M/kiti BAVICHA-Taifa atikisa Mbeya..

Status
Not open for further replies.

TUNTEMEKE

JF-Expert Member
Jun 15, 2009
4,587
579
Makamu mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa JULIANA SHONZA ameanza kwa kishindo ziara yake Mkoani mbeya moja kwa moja akijikita Vijijini kwa lengo la Kujenga na kuimarisha chama chake.

Ziara yake ilianza jana kwenye kata ya MSIA ambapo katika kata hiyo alifanya mkutano wa hadhara uliokua na mamia ya watu.katika mkutano huo,Juliana Shonza alijikita katika kueleza namna wwananchi wanavyotakiwa kujitokeza kwenye sensa inayoanza agousti 26 mwaka huu,pia alielezea umuhimu wa wanachi kujitokeza katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa manufaa ya taifa hili na wananchi wake

Sehemu kubwa pia ya mazungumzo yake kwa wananchi alijikita kwenye umuhimu wa vijana na wanawake kuijiingiza kwenye siasa bila kuogopa mabavu na vitisho toka chama Tawala.Pia alizungumzia namna wanachi wanavyoibiwa zao lao la kahawa na viongozi wa serikali ya ccm pamoja na makampuni binafsi.
Leo Makamu mwenyekiti huyo atakuwa na mkutano wa hadhara katika kata ya ITAKA amabapo anategemea kukutana na wananchi wa kata hiyo.

Katika ziara hiyo makamu mwenyekiti ameshirikiana vyema na viongozi wa jimbo,viongozi wa baraza la vijana mkoa wa mbeya ambao kwa umoja wao wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu katika ziara hii
Ziara hiyo itaendelea kesho kwenye kata ya IYULA na kwa muda wa wiki moja ijayo atajikita kwenye wilaya la MBARALI

Ikumbukwe wazi Makamu mwenyekiti anajitolea kufanya ziara hii,anasisitiza vijana kuendelea kujitolea kwenye ujenzi wa chama.Pia mwenyekiti huyo huyo amepitisha bakuri la kuchangia ziara yake hiyo kwa wadau mbalimbali, wa mkoa wa mbeya na wale wanaokiunga mkono chadema,hatimaye amefanikiwa kuanza ziara hiyo inayoonekana kuwa na mafanikio makubwa kutokana na idadi ya watu wanaohamia chadema na kuomba kadiza chama hicho,Pia wingi wa wafuasi wa chadema kwenye mikutano hii ni wazi kwamba CHADEMA inakubarika mkoani mbeya na vijiji vyake.
 
Nimesoma let me go out and come back again maana am lost for sure .Mbona kama ni kupigiwa debe zaidi kuliko kazi yake kama Makamu?
 
Mrs Shibuda amejirekebisha? Title imgesomeka Mamluki wa BAVICHA ajirekebisha?
 
Naona ushauri wa wana-JF ulimfikia vyema baada ya kucheua zile pumba!! Binafsi nampa hongera na namtakia kila la kheri!!
 
Mrs Shibuda amejirekebisha? Title imgesomeka Mamluki wa BAVICHA ajirekebisha?

Mrs ben Saanane.

Kwani BAVICHA hawana fungu kwa viongozi wao kwenye ujenzi wa chama? Hili kundi linaendelea kuchomoza kwa kasi
 
Kazi nzuri, binadamu hujikwaa na huinuka na kuendelea na harakati za kufanya kazi!! Juliana alijikwaa na alifanyia kazi hilo limkwao na sasa anafanya kazi nzuri tumpe moyo na ushirikiano!
 
Mleta maada acha uongo yani vijana wa chadema sijuhi mkoje hivyo viposho mnavyopewa vinawazuzua kweli kuja mitandaoni kuleta maneno ya uongo kila siku,watu wa mbeya hatudanganyiki wala hatushawishiki kwa hoja za kichochezi na kibaguzi nafikiri mleta maada huwajuhi watu wa mbeya vizuri huku watu hawachaguhi chama wanachagua mtu kutokana na uwezo wake wa kuwajibika kwa wananchi wake ndiyo maana walimchagua Dr Mwakyembe,Prof Mwandosya,Mh Zambi na wengineo ika kwa hapa mbeya mjini wananchi wanajuta kumchagua mwanamziki manake wanasema jimbo limebadilika limekuwa la kihuni na hakuna maendeleo yoyote na ndiyo maana Mh raisi alipoenda mbeya kuanalia uwanja wa ndege juzi juzi wamemwomba awasaidie kutatua kero zao ikiwamo za maji ambazo Mh Mbunge alihaidi kuzitatua ameshindwa kabisa alihaidi mambo mengi mpaka sasa ata yeye ukimuhoji amefanya lipi kati ya yale aliyohaidi hasemi kitu hivyuo unavyoleta maada kwa ajili ya kudanganya watu humu jamvini haisaidihi kitu unajidanyganya wewe na viongozi wako waliokutuma kama hamuamini subirini uchaguzi ujao muone kama Sugu atarudi bungeni sisi huku mbeya hatudanganyiki kirahisi rahisi kwa makelele ,fujo,porojo,uchochezi na kejeli dhidi ya serikali ambayo tunaona imetusaidia sana na bado inaendelea kutusaidia yale waliyotuhaidi tunaona wakiyatekeleza kwa vitendo!
 
angekuwa na shida na posho angedai mshahara,....Mbona Heche analipwa,anapewa na posho...!!!11
Juliana jembe,fanya kazi kamanda wangu J

Hiki ndicho mlichokuwa mnataka,mleta mada alidhamiria kuleta uchochezi kama ulivyodhihirisha hapa
 
Mleta maada acha uongo yani vijana wa chadema sijuhi mkoje hivyo viposho mnavyopewa vinawazuzua kweli kuja mitandaoni kuleta maneno ya uongo kila siku,watu wa mbeya hatudanganyiki wala hatushawishiki kwa hoja za kichochezi na kibaguzi nafikiri mleta maada huwajuhi watu wa mbeya vizuri huku watu hawachaguhi chama wanachagua mtu kutokana na uwezo wake wa kuwajibika kwa wananchi wake ndiyo maana walimchagua Dr Mwakyembe,Prof Mwandosya,Mh Zambi na wengineo ika kwa hapa mbeya mjini wananchi wanajuta kumchagua mwanamziki manake wanasema jimbo limebadilika limekuwa la kihuni na hakuna maendeleo yoyote na ndiyo maana Mh raisi alipoenda mbeya kuanalia uwanja wa ndege juzi juzi wamemwomba awasaidie kutatua kero zao ikiwamo za maji ambazo Mh Mbunge alihaidi kuzitatua ameshindwa kabisa alihaidi mambo mengi mpaka sasa ata yeye ukimuhoji amefanya lipi kati ya yale aliyohaidi hasemi kitu hivyuo unavyoleta maada kwa ajili ya kudanganya watu humu jamvini haisaidihi kitu unajidanyganya wewe na viongozi wako waliokutuma kama hamuamini subirini uchaguzi ujao muone kama Sugu atarudi bungeni sisi huku mbeya hatudanganyiki kirahisi rahisi kwa makelele ,fujo,porojo,uchochezi na kejeli dhidi ya serikali ambayo tunaona imetusaidia sana na bado inaendelea kutusaidia yale waliyotuhaidi tunaona wakiyatekeleza kwa vitendo!
TULIA KWANZA POVU LIKUTOKE LIISHE,MAMBO YA KUONGEA HUKU UNATOA POVU MDOMONI UTAPALIWA BURE.....
Haya sasa Uhusiano wamaelezo yako na Kilichopostiwa hapa yako wapi?
wamemtaja mwakyembe hapa?wamemtaja rais hapa? wamemtaja sugu hapa?...Pia unataja mabo ya uchaguzi mara sijui kiaenda kikarudi je vinahusika hapa?
Jifunze kufyata mkia ukiona wakubwa wanapita
 
Hiki ndicho mlichokuwa mnataka,mleta mada alidhamiria kuleta uchochezi kama ulivyodhihirisha hapa
Molemo hayo yote ynazaliwa kutiokana na aina ya viswali vinaavyoulizwa......Kuna majibu yanayo zalisha majibu kama haya so usishangae saana...
Kila swali linamajibu yake tena true answers endeleni kuwauliza
 
Mrs ben Saanane.

Kwani BAVICHA hawana fungu kwa viongozi wao kwenye ujenzi wa chama? Hili kundi linaendelea kuchomoza kwa kasi


Malicious Fabrication.Umbeya wako huu utakupeleka pabaya siku moja.Endeleeni kuchonga kwa kuwa mnatumia ID fake lakini hamuwezi kuni-face.mmenitafuta wee bado mnaendelea.Endeleeni na uzuzu wenu kisiasa

Unajua kusema bila utafiti ni kuonyesha ufinyu wa mawazo.Do you have an idea on how daft you are?

Hata ikiwa hivyo wewe inakuhusu nini.baadhi yenu mmeshindwa kazi ya uongozi mpo huku kuchafua majina ya wengine tu

Ukiona Mwanaume unashindwa kazi ya kuongoza unaanza kuhofia wanawake wachapakazi ujue kuna tatizo.Mnapoteza kujiamini.Ndiyo maana Malawi nchi dhaifu inaongozwa na mwanamama shupavu inatupelekesha Tanzania imara inayoongozwa na wababa dhaifu.Leo tunatishiwa kunyang'anywa Ziwa Nyasa kwa kuwa tunaongozwa na wanaume dhaifu.Huu ni mzigo kwa Taifa.Usipoachana na mfume dume utakuja kututia aibu siku moja

Ninyi jamaa mmekaa kupika majungu huku tu.She's a Threat kwenu. You lot are a funny bunch! You should spend your time trying to find a way of making the lives of your fellow Tanzanians better.Jengeni chama. I understand some of you are feeling threatened by everything. That's why BAVICHA hasn't been developing the way it should. Tushirikiane kujenga BAVICHA na si kuchafuana humu.Ignorance is the order of the way. This so called 'threat' is only a figment of some over zealous and gutless political bigots. I'm not saying you shouldn't be vigilant, but people should learn to be respectful!
 
Malicious Fabrication.Umbeya wako huu utakupeleka pabaya siku moja.Endeleeni kuchonga kwa kuwa mnatumia ID fake lakini hamuwezi kuni-face.mmenitafuta wee bado mnaendelea.Endeleeni na uzuzu wenu kisiasa

Unajua kusema bila utafiti ni kuonyesha ufinyu wa mawazo.Do you have an idea on how daft you are?

Hata ikiwa hivyo wewe inakuhusu nini.baadhi yenu mmeshindwa kazi ya uongozi mpo huku kuchafua majina ya wengine tu

Ukiona Mwanaume unashindwa kazi ya kuongoza unaanza kuhofia wanawake wachapakazi ujue kuna tatizo.Mnapoteza kujiamini.Ndiyo maana Malawi nchi dhaifu inaongozwa na mwanamama shupavu inatupelekesha Tanzania imara inayoongozwa na wababa dhaifu.Leo tunatishiwa kunyang'anywa Ziwa Nyasa kwa kuwa tunaongozwa na wanaume dhaifu.Huu ni mzigo kwa Taifa.Usipoachana na mfume dume utakuja kututia aibu siku moja

Ninyi jamaa mmekaa kupika majungu huku tu.She's a Threat kwenu. You lot are a funny bunch! You should spend your time trying to find a way of making the lives of your fellow Tanzanians better.Jengeni chama. I understand some of you are feeling threatened by everything. That's why BAVICHA hasn't been developing the way it should. Tushirikiane kujenga BAVICHA na si kuchafuana humu.Ignorance is the order of the way. This so called 'threat' is only a figment of some over zealous and gutless political bigots. I'm not saying you shouldn't be vigilant, but people should learn to be respectful!

tatizo Heche anawanyima usingizi since that time uchaguzi wa BAVICHA.

THINK BIG.
 
tatizo Heche anawanyima usingizi since that time uchaguzi wa BAVICHA.


THINK BIG.

Your post shows how out of touch you are with reality..Nisingenyimw usingizi hata kama ingetokea muujiza akanishinda mbele ya ballot Box.
Sipendi kumzungumzia,ingekuwa yeye kapost kwa ID yake Real ningemjibu inavyostahili.Mnaonyimwa usingizi ni ninyi ambo mko so obsessed na ben kila wakati.B'cause you never prepared to occupy whatever position you have and as such you guys are clueless.
Turudi kwenye mjadala sasa
 
Mleta maada acha uongo yani vijana wa chadema sijuhi mkoje hivyo viposho mnavyopewa vinawazuzua kweli kuja mitandaoni kuleta maneno ya uongo kila siku,watu wa mbeya hatudanganyiki wala hatushawishiki kwa hoja za kichochezi na kibaguzi nafikiri mleta maada huwajuhi watu wa mbeya vizuri huku watu hawachaguhi chama wanachagua mtu kutokana na uwezo wake wa kuwajibika kwa wananchi wake ndiyo maana walimchagua Dr Mwakyembe,Prof Mwandosya,Mh Zambi na wengineo ika kwa hapa mbeya mjini wananchi wanajuta kumchagua mwanamziki manake wanasema jimbo limebadilika limekuwa la kihuni na hakuna maendeleo yoyote na ndiyo maana Mh raisi alipoenda mbeya kuanalia uwanja wa ndege juzi juzi wamemwomba awasaidie kutatua kero zao ikiwamo za maji ambazo Mh Mbunge alihaidi kuzitatua ameshindwa kabisa alihaidi mambo mengi mpaka sasa ata yeye ukimuhoji amefanya lipi kati ya yale aliyohaidi hasemi kitu hivyuo unavyoleta maada kwa ajili ya kudanganya watu humu jamvini haisaidihi kitu unajidanyganya wewe na viongozi wako waliokutuma kama hamuamini subirini uchaguzi ujao muone kama Sugu atarudi bungeni sisi huku mbeya hatudanganyiki kirahisi rahisi kwa makelele ,fujo,porojo,uchochezi na kejeli dhidi ya serikali ambayo tunaona imetusaidia sana na bado inaendelea kutusaidia yale waliyotuhaidi tunaona wakiyatekeleza kwa vitendo!
Kama miaka yote CCM imekuwa madarakani hapo Mbeya imeshinndwa kuboresha huduma za maji sugu anawezaje kufanya hivyo kwa miaka miwili na nusu? au unatuambia sugu alipochaguliwa ubunge hapo Mbeya alikausha na hayo maji?
 
Makamu mwenyekiti wa Baraza la Vijana Taifa JULIANA SHONZA ameanza kwa kishindo ziara yake Mkoani mbeya moja kwa moja akijikita Vijijini kwa lengo la Kujenga na kuimarisha chama chake.

Ziara yake ilianza jana kwenye kata ya MSIA ambapo katika kata hiyo alifanya mkutano wa hadhara uliokua na mamia ya watu.katika mkutano huo,Juliana Shonza alijikita katika kueleza namna wwananchi wanavyotakiwa kujitokeza kwenye sensa inayoanza agousti 26 mwaka huu,pia alielezea umuhimu wa wanachi kujitokeza katika kutoa maoni ya katiba mpya kwa manufaa ya taifa hili na wananchi wake

Sehemu kubwa pia ya mazungumzo yake kwa wananchi alijikita kwenye umuhimu wa vijana na wanawake kuijiingiza kwenye siasa bila kuogopa mabavu na vitisho toka chama Tawala.Pia alizungumzia namna wanachi wanavyoibiwa zao lao la kahawa na viongozi wa serikali ya ccm pamoja na makampuni binafsi.
Leo Makamu mwenyekiti huyo atakuwa na mkutano wa hadhara katika kata ya ITAKA amabapo anategemea kukutana na wananchi wa kata hiyo.

Katika ziara hiyo makamu mwenyekiti ameshirikiana vyema na viongozi wa jimbo,viongozi wa baraza la vijana mkoa wa mbeya ambao kwa umoja wao wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu katika ziara hii
Ziara hiyo itaendelea kesho kwenye kata ya IYULA na kwa muda wa wiki moja ijayo atajikita kwenye wilaya la MBARALI

Ikumbukwe wazi Makamu mwenyekiti anajitolea kufanya ziara hii,anasisitiza vijana kuendelea kujitolea kwenye ujenzi wa chama.Pia mwenyekiti huyo huyo amepitisha bakuri la kuchangia ziara yake hiyo kwa wadau mbalimbali, wa mkoa wa mbeya na wale wanaokiunga mkono chadema,hatimaye amefanikiwa kuanza ziara hiyo inayoonekana kuwa na mafanikio makubwa kutokana na idadi ya watu wanaohamia chadema na kuomba kadiza chama hicho,Pia wingi wa wafuasi wa chadema kwenye mikutano hii ni wazi kwamba CHADEMA inakubarika mkoani mbeya na vijiji vyake.

Hongera kamanda shonza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom