omben
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 812
- 449
Jamani naomba kujuzwa hizi kampuni za uchukuzi kwa kila mkoa ambazo ni Iringa(iringa retco) Mbeya(mbeya retico)Mwnza(kauma) Ruvuma(kauru) Morogoro(mororetco)n.k. Hivi hizi kampuni ziko wapi maana nimepita Morogoro kwenye karakana ya kampuni hiyo nimeona magari machakavu ambayo yapo juu ya magogo.
Iringa nimeona hata karakana imegawiwa kwa watu wengine. Mbeya nineona mabasi ya sumury ndiyo yamepaki kwenye hiyo karakana hamuna hata lorry moja la ile kampuni(mbeyaretco). Kwa yule anayefahamu haya makampuni yameuzwa au yamefilisika. Naomba kujuzwa.
Iringa nimeona hata karakana imegawiwa kwa watu wengine. Mbeya nineona mabasi ya sumury ndiyo yamepaki kwenye hiyo karakana hamuna hata lorry moja la ile kampuni(mbeyaretco). Kwa yule anayefahamu haya makampuni yameuzwa au yamefilisika. Naomba kujuzwa.