Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Makampuni ya simu yanapofanya kazi za Kibenki yanasimamiwa na sheria gani? Yaani, yanapotumika kununua vitu, kubadilisha, kuhifadhi na kuhamisha fedha yanaongozwa na sheria gani. Je yanaweza kutoza riba katika fedha ambazo ziko mikononi mwao? Je sheria ya anti-money laundering inawagusa vipi?