Elections 2010 Makampuni ya Simu na Kampeni za Uchaguzi

IshaLubuva

JF-Expert Member
Dec 4, 2008
250
11
Kabla ya Juni 2010 ilikuwa ukipita kwenye barabara zenye bahati ya kuwa na nguzo za taa za ummeme zinazomulika barabarani ilikuwa ni kawaida kuona mabango ya kampuni mbalimbali za simu za mkononi yakiwa na matangazo yao ya kujinadi. Lakini kwa sasa hali iko tofauti sana kwani badala ya kuona matangazo ya kampuni za simu, kuna picha za Jk zikiwa na ujumbe wa chaguo letu, ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi. Hakuna hata sehemu moja ambayo utaona tangazo la mgombea wa chama kingine.

Je inamaana hayo mabango huwa ni ya CCM au vipi?. Kama siyo kwani vyama vingine havina haki ya kuyatumia kwa ajili ya uchaguzi hata kama ni kwa kuyalipia (kwa kuzingtia kwamba nguzo za umeme ni mali ya shirika la umma) kama ambavyo huwa kuna fursa ya vyama vyote kutumia vyombo vya habari vya serikali?
 
Inabidi nasisi tuangalie sehemu ambazo bado sisiemu hawajaparamia tuweke mabango yetu. ''DR. SLAA CHAGUO LETU 2010''
wanajamii kwa pamoja tukiungana lazima CHADEMA titinge ikulu!
 
hIVI MUDA WA KAMPENI TAYARI UMEANZA?

Ile ya mikutano ya hadhara bado japokuwa ilikuwa inapigwa kiaina kwa staili ya kuwatambulisha wagombea, lakini kwa kubandika mabango barabarani inamaanisha ndo kampeni yenyewe hiyo. Sasa ni jukumu la Tume a Uchaguzi kuchekecha na kuainisha ipi ni kampeni na ipi siyo kampeni
 
Kabla ya junu 2010 ilikuwa ukipita kwenye barabara zenye bahati ya kuwa na nguzo za taa za ummeme zinazomulika barabarani ni kawaida kuona mabango ya kampuni mbalimbali za simu za mkononi yakiwa na matangazo yao ya kujinadi. Lakini kwa sasa hali iko tofauti sana kwani badala ya kuona matangazo ya kampuni za simu kuna picha za Jk zikiwa na ujumbe wa chaguo letu, ari zaidi, nguvu zaidi na kasi zaidi. Hakuna hata sehemu moja ambayo utaona tangazo la mgombea wa chama kingine.

Je inamaana hayo mabango huwa ni ya CCM au vipi?. Kama siyo kwani vyama vingine havina haki ya kuyatumia kwa ajili ya uchaguzi hata kama ni kwa kuyalipia (kwa kuzingtia kwamba nguzo za umeme ni mali ya shirika la umma) kama ambavyo huwa kuna fursa ya vyama vyote kutumia vyombo vya habari vya serikali?

Pale mtu yeyote anaweza kuweka matangazo yake, hata wewe ukiamua kubandika picha yako ni ruksa.
Makampuni ya Simu yanalipia kuweka matangazo yake pale mkuu.. Naona CCM walishanunua yale mabango kwa mda huu wa uchaguzi kama yamebandikwa picha za JK.
 
Bango alimbadilishi mgombea kuwa mzuri wala mimi mpiga kura kubadilisha mawazo! Nafikiri wagombea urais wawe na mdahalo; halafu atakaye sepa huyo hatufai!!! Tunataka tuwaweke kwenye mizani ili tuone nani anafaa - picha tu bila kumsikia ni bure - ni sawa na kuchagua mchumba kwa kutumia picha!!!!!!
 
Picha za Jinga Kubwa zinatia kichefuchefu. Kamata kalamu ukiona bango andika juu yake SILAHA KIBOKO YAO.
 
Back
Top Bottom