LuCKNOVICH
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 104
- 11
Nimekuwa na grocery kwa miaka 4 natumia friji na viti vyangu binafsi,kila nikiwaona ma salesman wanazungusha,wanataka kitu kidigo,hadi mabango anayekuletea anakuuliza utanilinda kidogo basi.
Swali ni jukumu la nani kutoa hivyo vitu nini terms and conditions.TBL=Tanzanai Breweries Ltd,SBL=Serengeti 8reweries Ltd.
Swali ni jukumu la nani kutoa hivyo vitu nini terms and conditions.TBL=Tanzanai Breweries Ltd,SBL=Serengeti 8reweries Ltd.