YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Hii ni pigo kwa Tz . Ajira nying zimepoteaa.
Kuna ajira nyingine mpya zinaibuka.Kampuni zilizokuwa hazifanyi biashara zitaanza kufanya biashara kukaba nafasi ya hao waliofungiwa.Zitaajiri watu wengine ambao hawakuwa na ajira ,Kuna wanaopoteza ajira na kuna wanaopata .
Dunia ni barabara ambayo wengine kwenye barabara hiyo hiyo muda huo huo wako kwenye msafara wa msiba na maiti wakilia wengine muda huo huo kwenye barabara hiyo wako kwenye msafara wa harusi na matarumbeta wanaimba anameremeta,anameremeta wakimwimbia bwana harusi na bibi harusi wakipiga vifijo na vigelegele.