Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,474
- 39,987
Rais anapokuwa nje ya nchi ni makamu wa rais anayeshika madaraka siyo waziri mkuu. Tangu mgogoro huu uanza tumemsikia sana waziri mkuu. Najiuliza yuko wapi makamo wa rais na kwa nini impression inaachwa kuwa in the absence of the president it is the prime minister who is incharge?