MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Bora nenda kafanye kweli kielewekeMakazi ya Jecha yako wapi kwa hapa Unguja?
Bora nenda kafanye kweli kielewekeMakazi ya Jecha yako wapi kwa hapa Unguja?
Ni tofauti wacha kumanga manga hapa hivi mnaogopa kitu gani?Wacha uwongo waliojitokeza mwanzo ndiyo hao hao wa leo nassor na ayoub. kama hujui uliza usikurupuke
Nakwambia tena ni wale wale na huyo Ayoub ndiyo aliyesambaza rua ya kuwa wanalazimishwa na CCMNi tofauti wacha kumanga manga hapa hivi mnaogopa kitu gani?
Pole sana naona maccm mnaanza kuparurana na hapo badoNakwambia tena ni wale wale na huyo Ayoub ndiyo aliyesambaza rua ya kuwa wanalazimishwa na CCM
Kwake Mwanakwerekwe,Jambiani,Mchambawima,Chanjamjawiri,Kwa Mchina?
Pole mimi naoan kama nikupe wewe kani unaongelea vita hata huna idea navyoPole sana naona maccm mnaanza kuparurana na hapo bado
===KANI===Mwaka huu mmeshikwa sehemu nyeti hadi viwavi woote wapukutikePole mimi naoan kama nikupe wewe kani unaongelea vita hata huna idea navyo
Hapa ndo ninapooaga tu uchawi hauna dili. Mtu mmoja tu ndo anasumbua, wachawi walitakiwa wampige kitu cha kupooza zimruke, makamu mwenyekiti chukue mikobaYupo mafichoni ambako amefichwa na watawala huku wakimpa ulinzi wa 'kufamtu' wa vikosi vyetu vya usalama.
Hakika huyo mzee kwa kukubali 'maagizo' aliyopewa na watawala wa CCM yatamfanya katika maisha yake yote yaliyobaki hapa duniani aishi maisha ya kujitenga na jamii na kuishi maisha ya wasiwasi kupita kiasi.
uko kote ayupo maana niko hapa kiembesamaki habari ni hizo tu kajificha wapi na kwa nini ajifiche?Kwake Mwanakwerekwe,Jambiani,Mchambawima,Chanjamjawiri,Kwa Mchina?
Wanzanzibari walishashinda tah 25/10.na hawatarudia tena uchaguzi wa chama kutafuta viongozi wa chama sio wa wazanzibariKama Jakaya mwenyewe akiwa Amiri jeshi hakupenda uchaguzi urudiwe lakini Jecha kaufuta na Unarudiwa itakuwa hivyo vikamishna uchwara?
Tulipofikia hata Jecha mwenyewe Hana ubavu wa kupinga Marudio ya Uchaguzi!!
Nashauri CUF waige wenzao wa CcM wa kurudia uchaguzi hata kwa shingo upande kwa Maslahi mapana ya Wazanzibari.
Maslahi yepi? Kwani CUF si wamejitoa kwenye huo uchaguzi uchwara? Hivyo ni wakati wa CCM kushangilia ushindi wa kishindo. Hivi mpo kwenye mashindano ya mbio, halafu wewe unamkwatua mguu mshindani wako na kumvunja mguu; halafu unamgeukia na kumwambia njoo tushindane? kweli inawezekana hilo? Tufike mahali tuheshimu utu wa Wana CUFKama Jakaya mwenyewe akiwa Amiri jeshi hakupenda uchaguzi urudiwe lakini Jecha kaufuta na Unarudiwa itakuwa hivyo vikamishna uchwara?
Tulipofikia hata Jecha mwenyewe Hana ubavu wa kupinga Marudio ya Uchaguzi!!
Nashauri CUF waige wenzao wa CcM wa kurudia uchaguzi hata kwa shingo upande kwa Maslahi mapana ya Wazanzibari.
Sio wazanzibar wote waliomchagua Maalim Seif maana Zanzibar sio Chama, hivyo kusema Wazanzibar walishashinda si sawaWanzanzibari walishashinda tah 25/10.na hawatarudia tena uchaguzi wa chama kutafuta viongozi wa chama sio wa wazanzibari
Sio wazanzibar wote waliomchagua Maalim Seif maana Zanzibar sio Chama, hivyo kusema Wazanzibar walishashinda si sawa[/QUOTE kwa ufupi cuf hawatoshiriki uchaguzi ulioitishwa na ccm