Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
Dalili zinaonyesha ushindi mkubwa kwa Dr Slaa wa Chadema kuwa rais mpya wa Tanzania. Lakini kuna kiza kinene kama matokeo yatakayotangazwa yatafanana na maamuzi ya wananchi katika kura. Je Jaji Lewis Makame wa NEC ya Tanzania atageuka kuwa Kivuitu aliyeleta balaa Kenya kwa kukubali kutangaza matokeo ya wizi, ama Makame ataamua kujiuzuru kukataa kutangaza matokeo yaliyopikwa na CCM ili kulinda heshima yake na ya nchi yetu?