Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
yaani hili babu choka mbaya!!!! Mdomo kama huna meno! Mwone kwanza! Kwani sisiem mmeshinda au mmetupora ushindi wetu? majimbo mangapi mlikuwa mmepoteza mpaka mmetumia nguvu? 2015 thubutu kama hatutawatoa ngeu. Tumegundua janja yenu mambo yote ki-Mwanza mwanza tu mpaka kieleweke. Uchaguzi ujao hampati kitu bandugu!!
Zee linamwaga pumba tu hadharani hata aibu halina kubwa jinga wewe
Zee linamwaga pumba tu hadharani hata aibu halina kubwa jinga wewe