Ilumine
Senior Member
- Dec 27, 2008
- 196
- 4
Ninatazama hapa taarifa ktk ITV. Makamba anasema kwa mambo mengi aliyoyafanya JK kwa miaka hiyo mitano, tumpe ZAWADI kwa kumchagua tena
Jamani eeee, hivi kumbe tunapomchagua Rais tunatoa ZAWADI?
Basi, tuendelee kulitafakari hili, eti wenzetu wanahitaji zawadi zetu? Tena wanaombaomba namna hii? Sina mpango wa kumpa mtu zawadi ya mtindo huu mwaka huu. Kumbe ndio mchezo wao!! Wamekuwa wakipeana posts kama zawazi!!!! Fungueni macho!
Jamani eeee, hivi kumbe tunapomchagua Rais tunatoa ZAWADI?
Basi, tuendelee kulitafakari hili, eti wenzetu wanahitaji zawadi zetu? Tena wanaombaomba namna hii? Sina mpango wa kumpa mtu zawadi ya mtindo huu mwaka huu. Kumbe ndio mchezo wao!! Wamekuwa wakipeana posts kama zawazi!!!! Fungueni macho!