Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sababu ya ziada ya kumpa hongera kwani hata baada ya kuhonga wameshindwa na amekubali kushindwa. Wapo wanohonga, wakitoka patupu wanaanza kuleta fujo.Mnafiki huyo alikuwa anahonga Tripla A juzi
John Chiligati
HONGERENI CHADEMA KWA USHINDI WA ARUMERU MASHARIKI,DEMOKRASIA IMECHUKUA MKONDO WAKE,HONGERENI SANA CCM KWA KUONYESHA UKOMAVU WA KISIASA KWA KUYAKUBALI MATOKE NA KULINDA AMANI CHINI YA DEMOKRASIA CHANGA,TUJIPANGE,TUNA NAFASI YA KURUDISHA IMANI YA CHAMA CHETU KWA WATANZANIA
Imenipendeza · · Sambaza · kama saa moja iliyopita near Dar es Salaam ·
Hongera Makamba, hizo ndiyo siasa za kistaarabu, wafundishe na viongozi wako wa chama, maana ndiyo wanaoua hii CCM ni viongozi tu hakuna wengine, wanajiona MUNGU WATU.