Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Katibu Mkuu wa CCM, Yusuph Makamba amedai kuwa suala la kughushi cheti cha kuzaliwa na hivyo kudanganya umri sasa litashughulikiwa na Jeshi la Polisi. Amedai pia kuwa hajui Polisi watalishughulikia vipi, ila hawatawaingilia kazi yao!
SOURCE: Tanzania Daima.
SOURCE: Tanzania Daima.