Aliyekuwa katibu mkuu wa CCM Yusufu Makamba amemtaka Rais Kikwete kutomsahau na kwamba pale atakapoona anafaa kama ni kwenda kujibu matusi yupo tayari kufanya hivyo.
Awali, akifunga kikao cha NEC-CCM, jana usiku mjini hapa, Rais Kikwete alisema kazi iliyopo mbele yao hivi sasa ni kujenga chama na kwamba wamekubaliana kujibu matusi ya wapinzani badala ya kutuma ujumbe mfupi wa simu kwake.
Source: Mwananchi
Awali, akifunga kikao cha NEC-CCM, jana usiku mjini hapa, Rais Kikwete alisema kazi iliyopo mbele yao hivi sasa ni kujenga chama na kwamba wamekubaliana kujibu matusi ya wapinzani badala ya kutuma ujumbe mfupi wa simu kwake.
Source: Mwananchi