Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
Kwa muda wote makamba jr amekuwa akibainisha kuwa anaujua ukristu na Uislam ,pengine anaamini anazijua na dini zingine.Na hata ktk uzinduzi wa ktabu kagusia pia kuwa kuna maudhui ya dini .Maswali yanakuja?
-Je anajua anchokifanya na madhara yake?Au anayo ajenda ya siri?
-Anafahamu kuwa suala la authority ni muhimu sana.
-Je anafahamu kuwa analolojaribu lifanya lingehitaji sana kupat amaoni ya wahusika ktk dini husika,Kwa level mbalimbali?
-Je anafahamu tofauti zilizopo ktk Uislam, Ukristu , u Hindu etc ni kubwa sana kiasi cha kuzifanya dini zote kuwa tofauti, na hata kuchukiana sana duniani, kiasi cha kuwaleta ktk vita kila nafasi ikipatikana?
Sidhani km huyu mzee kafanya homework yake vizuri.Nahis kajadiliana na watu aina ya waandishi wa habari, vijana wa mjini ambao wakihtaji vitu fulani kuhalalisha ndoa zao, maslahi yao kisiasa etcwancompromise vitu fulani in the name of peace, appeasement, fame, money etc.
>>>>>>>>>>>>>>sijui ata reconcile vipi hizi habari kabla ya kujikuta pasipo>>>>>>>>>>>
-Yesu ni mwana wa Mungu+ Munguau kinyume chake
-Yesu alikufa ,kufufuka na kupaa au kinyume chake
-Abrahamu alitaka mtoa Isaack kafara na si Ishamael AU kinyume chake.
-Adamu,Abrahamu, Mosses,Yesu etc HAWAKUWA/WALIKUWA WAISLAM.
-Kulitambua au kutotambua taifa ya Israel.
-Biblia kuwa sahihi au kutokuwa sahihi.
-Biblia na Quran kipi kipo sahihi ktk mambo yanayotofautiana.
-Kati ya Muhamad na Yesu nani ni Nabii wa mwisho.
-Ukristu na Uislam ni dini gani ya ukombozi kutoka utumwa kidunia.(Mzungu na Muarabu)(ingawa watu wanadhani Ukristu ni wa mzungu)
-Dini gani itamfikisha mtu mbinguni?Ajue kuwa kuna mambo yanapingana na zote zinaamini kuna njia moja.Kwa hiyo asitegemee kuwa na jibu kuwa ni zote.
Kuna mengine Mengi ila mzee ajue mara zote atajikuta akienda ktk mipaka ya kufuru kwa waumini wa pande hizi ktk maelezo yake.
-Je anajua anchokifanya na madhara yake?Au anayo ajenda ya siri?
-Anafahamu kuwa suala la authority ni muhimu sana.
-Je anafahamu kuwa analolojaribu lifanya lingehitaji sana kupat amaoni ya wahusika ktk dini husika,Kwa level mbalimbali?
-Je anafahamu tofauti zilizopo ktk Uislam, Ukristu , u Hindu etc ni kubwa sana kiasi cha kuzifanya dini zote kuwa tofauti, na hata kuchukiana sana duniani, kiasi cha kuwaleta ktk vita kila nafasi ikipatikana?
Sidhani km huyu mzee kafanya homework yake vizuri.Nahis kajadiliana na watu aina ya waandishi wa habari, vijana wa mjini ambao wakihtaji vitu fulani kuhalalisha ndoa zao, maslahi yao kisiasa etcwancompromise vitu fulani in the name of peace, appeasement, fame, money etc.
>>>>>>>>>>>>>>sijui ata reconcile vipi hizi habari kabla ya kujikuta pasipo>>>>>>>>>>>
-Yesu ni mwana wa Mungu+ Munguau kinyume chake
-Yesu alikufa ,kufufuka na kupaa au kinyume chake
-Abrahamu alitaka mtoa Isaack kafara na si Ishamael AU kinyume chake.
-Adamu,Abrahamu, Mosses,Yesu etc HAWAKUWA/WALIKUWA WAISLAM.
-Kulitambua au kutotambua taifa ya Israel.
-Biblia kuwa sahihi au kutokuwa sahihi.
-Biblia na Quran kipi kipo sahihi ktk mambo yanayotofautiana.
-Kati ya Muhamad na Yesu nani ni Nabii wa mwisho.
-Ukristu na Uislam ni dini gani ya ukombozi kutoka utumwa kidunia.(Mzungu na Muarabu)(ingawa watu wanadhani Ukristu ni wa mzungu)
-Dini gani itamfikisha mtu mbinguni?Ajue kuwa kuna mambo yanapingana na zote zinaamini kuna njia moja.Kwa hiyo asitegemee kuwa na jibu kuwa ni zote.
Kuna mengine Mengi ila mzee ajue mara zote atajikuta akienda ktk mipaka ya kufuru kwa waumini wa pande hizi ktk maelezo yake.