Katika hali isiyo kuwa ya kawaida, Bwana Makamba bado anaendelea kushindwa kusoma nyakati.Inashangaza kuona kwamba hata kijana wake wa kazi,Bwana Komba anapotuhumiwa kutafuna mishahara ya wale alioapa kuwatetea,bado aanamkingia kifua na kumtetea.Mimi binafsi nimefika mahali sasa nasema hawa watu hawako 'serious'.Wapo kwa niaba yao binafsi,ndugu zao na marafiki zao.Watanzania inabidi tufike mahili tuseme 'enough is enough'.Tutaendelea hivi mpaka lini?