Tulishaandika haya mara baada ya uchaguzi. Ila wengi tulikuja kutukanwa na kubezwa saaana.
Kuna madudu mengi sana yalifanyika wakati wa uchaguzi. Kuna majimbo ambayo watu walikuwa wakinunua vituo na kwa hiyo kutangaza matokeo yoyote wanayotaka wao. Kuna majimbo unakuta wamejiandikisha watu 9,000 na katika hao kuna wengi hawajalipia kadi na wengine hawapigi kura ila unashangaa mtu anashinda kwa kura 12,000. Hapo ndipo unaona kweli maneno ya Dr. watu wanayatumia kikwelikweli yaani "Kura za kupewa, changanya na za kwako."
Jambo zuri alilolifanya Mkapa ni kuachia uongozi watu wabovu. CCM na Muungano vitamlipukia mtu mikononi. Na hapo kitakachofuata na mtu baki aje kutawala/kuongoza Tanzania. Nitafurahi kuwaona Mkapa na Mkewe Anna na mume mwenza Mramba wakipanda kizimbani Kisutu. Imma Advocate na Mkono Advocate nao lazima wapande. Nina imani mtoto wa Karume atarudi kwao Zanzibar na wengine wote watakaobaki watasaidia kujibu shutuma kubwa za BoT, Deepgreen nk nk nk
Hao viongozi wanaollialia kama watoto shame on them. Yaani walikuwa wanamlea Makamba siyo, hihihiiiiiiiii
Ukicheza na Nyani, MMEVUNA MABUA WAJOMBA. Msahaulike Milele.
I have the same prayer Sikonge (tusamehewe kama ni dhambi)