Ehud
JF-Expert Member
- Feb 12, 2008
- 2,685
- 337
unakunywa
vaisirooh??umenifurahisha sana
Napiga mzee we nipe nichanganye na coca bariiiidi!
unakunywa
vaisirooh??umenifurahisha sana
Wakati mji wa dodom aukiendelea na sherehe za aina yake za kuukimbiza utawala wa fashist Makamba na wenzake aliekuwa mwenyekiti wa uvccm amewaasa watanzania wanaoshika madaraka ya chama wasijisahau hata kidogo..wanachowafanyia wenzao ipo siku watafanyiwa tena wakiwa dunian...
Mh masauni amesema alisikitika sana kuona huyu mzee alivyofikia kumtukana na wazazi wake kisa uongozi wa chama..na kusema CCM ilikuwa inaelekea pabaya kama si kusahaulika..amempoongeza mh kikwete kwa mabadiliko na kumuasa yasiishie hapo kwani kuna ufirauni mwingi tu ccm Umejaa
UVCCM....Kama atawalea wale watoto ipo sikui atakuja kutukanwa hadharani...wale watoto wajinga sana wanafikia kumtukana mtu kama sumaye bila kujua umuhimu wake..alisema
Mh makamba kwaniaba ya familia yangu binafis pdidy nakupongeza kwa aibu iliokukuta ilifika sehemu nikasema hivi mpaka unatukana watu hivi n mganga wa tanga amekuhakikishia ungóki ama??tatizo ukujua Mungu yupo..pole karibu mtaani
Yanamtokea puani sasa kibabu huyu!