Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,769
Nimekuwa nikitafakari kauli ya Makamba kwamba Nape kugeuza chama hicho kama taasisi yake binafsi na hii ndiyo imesababisha kikose mwelekeo.
Nimeshindwa kumwelewa Makamba; katika CCM nafasi ya Nape si ya kutoa mwelekeo, "strategic direction". Sana sana Nape ni msemaji au mhamasishaji wa yale yanayoamuliwa katika Chama. Sasa iweje Nape ageuze CCM kama taasisi yake? Kama Chama kimekosa mwelekeo, hilo linakuwaje ni tatizo la Nape na sio la Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama wanaotakiwa kukipa Chama mwelekeo?
Mie nadhani katika lawama zote zinazotolewa juu ya uongozi wa CCM nk, watu kama kina Makamba na Lowasa wanashindwa kutamka kwamba Mwenyekiti na Katibu wa Chama ndio tatizo la uongozi, na wanaishia kumungunya maneno.
Nimeshindwa kumwelewa Makamba; katika CCM nafasi ya Nape si ya kutoa mwelekeo, "strategic direction". Sana sana Nape ni msemaji au mhamasishaji wa yale yanayoamuliwa katika Chama. Sasa iweje Nape ageuze CCM kama taasisi yake? Kama Chama kimekosa mwelekeo, hilo linakuwaje ni tatizo la Nape na sio la Mwenyekiti na Katibu Mkuu wa Chama wanaotakiwa kukipa Chama mwelekeo?
Mie nadhani katika lawama zote zinazotolewa juu ya uongozi wa CCM nk, watu kama kina Makamba na Lowasa wanashindwa kutamka kwamba Mwenyekiti na Katibu wa Chama ndio tatizo la uongozi, na wanaishia kumungunya maneno.