Mark Francis
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 605
- 310
Tumeshuhudia viongozi CCM na magazeti mengi yakitangaza kuwa CCM imejivua gamba kwa kuvunja sekretarieti ya CCM iliyokuwa chini ya Makamba, Chiligati, Mkuchika na wengine ambao sijawataja. Je, ni kweli kuwa viongozi hao wa chama ndio waliokuwa gamba ambalo CCM imetangaza kujivua?? Na je, huo ndio utakua mwisho wa kuchukiwa kwa CCM??