Elections 2010 Makamba atinga jimboni Bumbuli leo na ufanya vikao vya siri.....

Sasa basi alipokuwa akipinga kuwa hafanyi vikao vya kuwania jimbo lile hakuwa mkweli au ndiyo siasa zenyewe za bongo. Nadhani kuwa Tanzania hatuna utaratibu wa kuwa na exploratory committees za kuwania viti vya kisasa; na hata kama zipo huwa zinatakiwa zitangazwe hadharani badala ya kufanyika kimya kimya.

Ndiyo maana nakubaliana na falsafa ya mwanafalsafa hapo juu.
 
watu wengine wanatangaza nia bila ya kuwa na hoja nzito...

1.Hivi mtu ili uweze lisaidia taifa lako lazima uwe mbunge?

2.Kazungumza mengi sana,eti Bumbuli barabara hazipiti?watu anashindwa kufanya mazishi.Je wakati alipokuwa na anaendelea kuwa Msaidizi wa Rais alishindwa vipi kumshauri Rais ili barabara zijenngwe?

3.Kuwa mbunge unakuwa mbali na Rais pamoja na Baraza la Mawaziri(ikiwa kama hajahaidiwa uwaziri?ndiyo ..)Je atamshauri vipi Rais ili atekeleze maendeleo ya Jimbo la Bumbuli.

4.Kuna jambo moja la hatari sana lisipoangaliwa kwa undani litaleta utawala wa Kiimla (rejea swali la Mwanakijiji,atagombea wapi?)

Ningekuwa naweza kumshauri na akashaurika ningemwambia aendelee kumshauri Rais ili alete maendeleo kwa watanzania wote.

Mie sitaki ubunge nataka kazi ya kumsaidia Rais kwa kumweleza ukweli..Ndiyo mnaojua mnasema anauwezo wakuongoza..Msahurini tu..Go Makamba
 
Huu ni uamuzi mzuri alochukua kijana mwenzetu ingawa unakumbwa na maswali kutokana na kwamba yumo katika mfumo wa siasa ambao una "circles" zilizo na mtizamo wa kupata umaarufu na baadae kukusanya mali halafu mwisho kustaafu ukiwa hujafanya chochote kwa wananchi wako.

Tumeliona hilo kwa mgosi anaeshikilia kiti mzee Shelukindo na ushauri wangu wa bure kwa mgosi mwenzangu Januari ni kwamba endapo atapitishwa na wananchi na kuwa mbunge mpya wa Bumbuli basi awe na ofisi jimboni humo na awe anaishi Bumbuli na awe akienda Dodoma kwa shughuli za Bunge tu.

Kwa kufanya hivyo atakuwa karibu na wananchi na kufanya mambo yote ya maendeleo anayoyasema yeye akiwamo.
 
Ok aseme ni kipi chema na kizuri alichomshauri rais na kuweka kama accomplishment kwake! maana ana nafasi nzuri kushinda hiyo anayoitafuta !
 
Steve,
Point yangu ni kwamba kama audience yake ya kwanza ni Watanzania, angeandika Kiswahili. Baadaye, kama wale wa nje wanataka kujua falsafa yake na matatizo ya Bumbuli kuna muda wa kutosha kufanya tafsiri kwa Kiingereza. Lakini hapa naona wa nje ni muhimu zaidi ya wa ndani.

I won't beat about the bush, am gonna say it....!! Ni - "naibu waziri wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa" mtarajiwa. One to reference!!!!
 
Well done January! I think he is a hard working person and his involvement in Tanzania politic circuits makes him be even more qualified for the sought after role. Namtakia mafanikio mema kwenye kampeni.

Steve Dii


... Iweje mtu ambaye ana-hang na ku-dine na wengi wanaopelekea Taifa letu liendelee kusota hapo hapo awe tofauti?! Tuwapinge vipi wahenga wengi na usemi wao wa mtoto wa nyoka ni nyoka?!

This's just yo-yoing around the opinion wind that's blowing b4 u at a given moment, no spine of own.
 
January anaenda kuwa mbunge.Sioni ni jinsi gani anaweza kukosa tiketi ya CCM, na once akipata tiketi ya CCM sioni ni jinsi gani atakosa ubunge.

January is probably better than a whole lot of possible candidates katika department ya ku-intellectualize vitu, kuandika vitabu, presentation and all (na hata hapo, unaposoma hotuba za rais na his scripted writings there is a lot to be desired). We definitely need the more positive end of that, lakini I am not sure that is what we need the most.

January alishawahi kusema "A million flies eat shyt, they can't be wrong" akimaanisha kwamba wananchi wa Tanzania wanachagua uongozi mbovu kwa hiyo wanastahili kuongozwa vibaya. Sioni kama mtu mwenye mentality hii atakuwa na uchungu wa kuleta maendeleo kwa watu. Naona ni mtu anayejichongea njia tu baadaye wakitoka kina Kikwete na baba yake awe katika "ulaji".
 
..he should have announced his candidacy in Bumbuli, not in Dar.

..sounds like a smart kid, sasa tunasubiri tuone kipaji chake ktk mijadala ya bunge.
 
2. Naamini kwamba, baada ya kufanya kazi kwa karibu na Rais Kikwete, naweza kuchukua mfano wake kuitumia siasa vizuri zaidi kuitumikia nchi yangu kwa namna pana zaidi. Naamini naweza kushirikiana na vijana wenzangu, wa CCM na wasio wa CCM, kuifanya siasa iwavutie vijana wengi zaidi na ionekane kama ni sehemu ya utumishi wa umma.

This is nonsense...

Kwanza siasa sio end-product..pili JK is the worst presidaa ever, sasa sijui amejifunza nini kwa JK ambacho anataka kuwamegea wadanganyika.
 
Asilimia 72 ya Watanzania wana umri wa chini ya miaka 29. Mwaka huu, vijana waliozaliwa mwaka 1992 watapiga kura. Letu ni taifa la vijana. Inabidi ifike mahali vijana sasa wajitokeze kwenye nafasi za uongozi ili sura ya uongozi wa nchi ifanane na hali halisi ya nchi. Tutakapojitokeza wachache na tukafanikiwa, hata vijana wadogo zetu nao watakuwa na hamu ya kufuatilia siasa na tutakuwa hatujawapoteza katika kujihusisha masuala ya nchi na wengine wengi nao watajitokeza kwasababu wataona inawezekana. Hata hivyo ujana peke yake sio sifa ya uongozi.

Oxymoronic..
 
"Naamini uzoefu wangu kama Msaidizi wa Rais, kwa kuzunguka na Rais nchi nzima mara mbili, wakati anaomba kura na baada ya kuchaguliwa, ambapo nimelazimika kusoma ripoti za maendeleo za Wilaya karibu zote, ambapo, kama Msaidizi wa Rais, nimehudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, pamoja na mikutano mingine mingi ya kimataifa na ndani ya nchi, utanisaidia sana kuwa Mbunge mzuri"


In my own personal opinion this guy is a fraud! Kumuamini na kumkubali eti tu kwa sababu ni kijana ni sawa na doing the same kwa mgombea simply kwa sababu ni kabila lako au dini yako!

Mmemsahau Lau Masha nini?
 
Naamini uzoefu wangu kama Msaidizi wa Rais, kwa kuzunguka na Rais nchi nzima mara mbili, wakati anaomba kura na baada ya kuchaguliwa, ambapo nimelazimika kusoma ripoti za maendeleo za Wilaya karibu zote, ambapo, kama Msaidizi wa Rais, nimehudhuria vikao vya Baraza la Mawaziri na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, pamoja na mikutano mingine mingi ya kimataifa na ndani ya nchi, utanisaidia sana kuwa Mbunge mzuri. Naingia kwenye siasa nikiwa nimejifunza mengi kuhusu Serikali na jinsi inavyofanya kazi, nikiwa nimejifunza jinsi baadhi ya maeneo nchini yalivyopiga hatua za maendeleo na mbinu gani wametumia na wale ambao bado hawajapiga hatua ni mambo gani hawajafanya. Nitatumia elimu hii na uzoefu huu kushirikiana na watu wa kwetu Bumbuli kusukuma maendeleo mbele.

Blah bla blah blah blah blah blah blah blah..

The same old shyt different day.

Naona maandalizi ya mediocre JK kumpa uwaziri huyu Makamba.

Twafwa!
 
Ukisoma kidogo tu maelezo yake utagundua kuwa January Mkamba ana uwezo mdogo sana wa ushawishi kisiasa,Maelezo yake kuhusu Bumbuli kaandika kama Mtendaji ili hali anagombea tu Ubunge ambayo ni nafasi ya kisiasa huku akishindwa kutoa elezo hata moja vyanzo vyake vya pesa ktk kuinua sekta za kiuchumi jimboni humo ni zipi.Kosa lingine la awali alilo lionyesha ni kuwa ukichambua vyema maelezo yake ameandika kama vile ni chama cha Upinzani ndicho kilikuwa kinashikilia jimbo la Bumbuli kwa miaka yote toka uhuru.Mwanasiasa makini hawezi akalaumu kila kitu kilichofanywa na watangulizi wake kutoka chama hicho hicho!

Kimsingi January is another looser who is typical pretending as new Masiiah for Bumbuli's Constituents lkn hamna lolote la maana alilioonyesha hata sasa.Bumbuli's hawawezi kuinuka kiuchumi kwa sababu tu Mbunge ajaye yupo karibu na Rais,bali aeleze ametumiaje nafasi yake ya kukaa karibu na Rais kwa miaka hii 5 kumuinua mwana Bumbuli?Au ataanza harakati za kumuinua mwana Bumbuli akishinda Ubunge?This is very awkard lesson indeed!

Kama ndiye yeye mwenyewe kaandika muktasari wa maelezo haya ya awali kuhusu Bumbuli basi tuna safari ndefu sana za kwenda kuhusu hawa wabunge wetu watarajiwa vijana,maana maelezo yake hayo hayana tija hata moja kwa Bumbuli kwani hajaeleza hata sehemu moja atafanya nini kigeni na alichofanya Mzee Shelukindo zaidi ya kusema"hili nitakaa nao wana Bumbuli tuongee",what the hell is this?
 
Ukisoma kidogo tu maelezo yake utagundua kuwa January Mkamba ana uwezo mdogo sana wa ushawishi kisiasa,Maelezo yake kuhusu Bumbuli kaandika kama Mtendaji ili hali anagombea tu Ubunge ambayo ni nafasi ya kisiasa huku akishindwa kutoa elezo hata moja vyanzo vyake vya pesa ktk kuinua sekta za kiuchumi jimboni humo ni zipi.Kosa lingine la awali alilo lionyesha ni kuwa ukichambua vyema maelezo yake ameandika kama vile ni chama cha Upinzani ndicho kilikuwa kinashikilia jimbo la Bumbuli kwa miaka yote toka uhuru.Mwanasiasa makini hawezi akalaumu kila kitu kilichofanywa na watangulizi wake kutoka chama hicho hicho!

Kimsingi January is another looser who is typical pretending as new Masiiah for Bumbuli's Constituents lkn hamna lolote la maana alilioonyesha hata sasa.Bumbuli's hawawezi kuinuka kiuchumi kwa sababu tu Mbunge ajaye yupo karibu na Rais,bali aeleze ametumiaje nafasi yake ya kukaa karibu na Rais kwa miaka hii 5 kumuinua mwana Bumbuli?Au ataanza harakati za kumuinua mwana Bumbuli akishinda Ubunge?This is very awkard lesson indeed!

Kama ndiye yeye mwenyewe kaandika muktasari wa maelezo haya ya awali kuhusu Bumbuli basi tuna safari ndefu sana za kwenda kuhusu hawa wabunge wetu watarajiwa vijana,maana maelezo yake hayo hayana tija hata moja kwa Bumbuli kwani hajaeleza hata sehemu moja atafanya nini kigeni na alichofanya Mzee Shelukindo zaidi ya kusema"hili nitakaa nao wana Bumbuli tuongee",what the hell is this?

Siku zote huwa nachekeshwa na hawa wagombea uongozi wanapojifanya wanayajua sana matatizo ya watanzania wakati in reality wengi wao wako out of touch!!!! Na ndiyo maana wanafikiri ukimpa kila mkulima trekta basi tutakuwa tayari tumefanaya Agricultural revolution.

They underestimate Tanzanians in a way kwamba wengine hata huwa hawasemi ni namna gani watashirikiana na wananchi kuleta hayo wanayoyaita maendeleo! To them is like wao ndiyo wenye uwezo, ujuzi, akili etc. Funy enough they are all the same, have been doing the same and will just do the same.
 
watu wengine wanatangaza nia bila ya kuwa na hoja nzito...

1.Hivi mtu ili uweze lisaidia taifa lako lazima uwe mbunge?

2.Kazungumza mengi sana,eti Bumbuli barabara hazipiti?watu anashindwa kufanya mazishi.Je wakati alipokuwa na anaendelea kuwa Msaidizi wa Rais alishindwa vipi kumshauri Rais ili barabara zijenngwe?

3.Kuwa mbunge unakuwa mbali na Rais pamoja na Baraza la Mawaziri(ikiwa kama hajahaidiwa uwaziri?ndiyo ..)Je atamshauri vipi Rais ili atekeleze maendeleo ya Jimbo la Bumbuli.

4.Kuna jambo moja la hatari sana lisipoangaliwa kwa undani litaleta utawala wa Kiimla (rejea swali la Mwanakijiji,atagombea wapi?)

Ningekuwa naweza kumshauri na akashaurika ningemwambia aendelee kumshauri Rais ili alete maendeleo kwa watanzania wote.

Mie sitaki ubunge nataka kazi ya kumsaidia Rais kwa kumweleza ukweli..Ndiyo mnaojua mnasema anauwezo wakuongoza..Msahurini tu..Go Makamba


as per in red above, sehemu nzuri ya kuleta mabadiliko ya ukwei katika nchi yeyote hasa Tanzania ni Bungeni maana ndiyo watunga sera na sheria zinazoendesha nchi na kwingineko
 
Nampongeza January kwa kufuata moyo wake.... ila nasikitika sana January ameamua kwenda kwenye mfumo ambao impact yake kwa taifa itakua ndogo sana.

tusidanganyane, bunge la Tanzania halina impact yoyote kwa mipango ya maendeleo ya nchi hii kutokana na mfumo unaotumika na pia kutokana na ingredients zake [yaani wabunge]; hata uwe na wabunge makini hamsini... wale wasio makini mia tatu wanaweza kabisa kuharibu mipango ya nchi

i would have been happier kumuona Makamba kwenye heavy institutuions kama mabenki, mashirika ya jamii, higer learning institutuions au hata research centers kuliko kwenda kupiga meza kwa miaka mitano

IT IS ANOTHER LOST YOUNG TALENT, SADLY, MOST OF THEM ARE DRIVEN BY FAME RATHER THAT PRO-POOR MOTION!!!!

I WISH GAME THEORY WAS AROUND!!!
 
as per in red above, sehemu nzuri ya kuleta mabadiliko ya ukwei katika nchi yeyote hasa Tanzania ni Bungeni maana ndiyo watunga sera na sheria zinazoendesha nchi na kwingineko

i strongly disagree;

mabadiliko ya kweli yanaletwa na watengeneza sera kwa kutumia availbale info, resources and strategies... bunge letu ni kupitia na kupitisha tu!!!

ukienda kwenye nishati, afya, elimu, ulinzi nk. wanaoweka vitu kimpangilio ni watendaji kwa kushirikiana na development partners....

kwenye hili naondoa legal system yetu ambao personally naiona kama inefficient, corrupt na a "rip-off" tu kwa maskini...

amini nakuambia, impact ya January haitakua bungeni... pale alipo sasa anaweza kufanya makuu zaidi. to me his move is more of self demotion
 
Mi nadhani kumpongeza bwana mdogo ni vizuri si tuyeye na vijana wote watakotangaza nia yao ya kufanya hivyo, lakini kusema kwamba kwa sababu amezunguka na kikwete ndio amepata kujifunzi tunakua wanafiki. Actually hilo ndio linalotutisha zaidi, kama tunakubaliana kwamba kikwete ameshindwa kabisa katika kufanya kazi yake na mara kadhaa tukisema kwa sababu anawasaidizi wasiona uweze kwa kuwa wamepewa kazi kwa majina na usultani, basi tutakua wanafiki leo hii tukiendelea kumwaga sifa kwa dogo ambazo tunajua kabisa kwamba ni matatizo. Mimi ningeelewa kama dogo angesema anakwenda kwenye hilo ili kujifunza na sio kwamba amejifunza, hana alichojifunza. naomba kumpa changamoto mbili, kwanza ni ile ya kuwashawishi vijana wenzake ya kwamba japo yeye kawekwa na mafisadi lakini ataweza kujipambanua na kuwafikia hao vijana hasa wakati huu ambao anakashfa ya kuiba project ya Mr II kwa kutumia nafasi yake ya kuwa ikulu, atawezaje kuwakingia kifua hao wana Bumbuli. Nadhani haya ni ya msingi kwa kuwa tunajua kwa bahati mbaya hakuna wa kumzuia huko CCM sio kwa uwezo bali kwa nguvu za fedha na nafasi ya baba yake. Hatumuonei wivu ila hatutaki kujifanya tumeyasahau haya. Nililolifurahia zaidi ni la uandishi wa kitabu japo sikubaliana na matumizi ya kuwafanya marafiki zake wa nje waje kuwekeza. Haya ndio mafunzo yale ya kikwete tusiyoyataka nadhani kitabu kama kitakua ni kitabu cha kikweli, kinaweza kutumika kuuza uzuri wa Bumbuli na nchi yetu kwa ujumla. Again, pongezi zangu ni kwake kama kijana wa kitanzania na sio kama Januari Makamba kwa kuwa there is more into Kijana wa kitanzania kabla hajayasafisha hayo mengine yaliyo kwa Januari makamba.
 
Back
Top Bottom