amanihamisi
New Member
- Apr 11, 2011
- 1
- 0
Apewe ubunge wa kuteuliwa si bado kuna nafasi.
Atarudishwa kwenye ukuu wa mkoa si unaona kuna gaps ambazo zipo kwenye RCs hazijajazwa eg DSM
Huyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea:
alikuwa karibu na mafisadi na ukiangalia kiasi cha fedha kilichopatikana kupitia 'ulinzi' wake ni kikubwa. Akiwekewa bill ya kama 15m kwa mwezi kutoka sehemu ya capacity charges bado ataendelea kuwa matawi ya juu!Apewe ubunge wa kuteuliwa si bado kuna nafasi.
Asije fungwa miaka 30 jela maana huyu enzi zake alikuwa Fataki.arudi kufundisha somo ya siasa shule za msingi, asaidie kuwapa wanafunzi ukweli wa siasa na experience yake
Si atarudi kwao Bumbuli akalime mapeasi banaHuyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea: