Huyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea:
Mbona anafaa sana kuwa Comedian wa chama, badala ya kupoteza pesa kibao kuwalipa Ze comedy wakati wa Kampeni, Wasipomtumia hilo eneo kweli CCM watakuwa hawazijui vizuri resources walizonazo
Huyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea:
Kwahiyo akaungane na Akina H,kopa??Na kaptenyo komba!!
arudi kufundisha somo ya siasa shule za msingi, asaidie kuwapa wanafunzi ukweli wa siasa na experience yake
Hata mimi sintoshangaa kama akirudi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaamkwa uvuaji gamba huu sinta shangaa akirudishwa kuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam , kama vile pensioner mukama alivyo rejea maanake siunajuwa kujivua gamba kunafuatiliwa na kubalance equation YA MAKUNDI,hapa nikama kununua mswaki wakati unajino moja tu mdomoni
kutokana na kauli ya mwenyekiti wa CCM Mh. J.K... inayohusu kuvua gamba... basi makamba ni Gamba lililovuliwa na CCMHuyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea:
Kwahiyo akaungane na Akina H,kopa??Na kaptenyo komba!!
Hawa CCM wanatuzuga tu. Sitashangaa kama Jk ataamua kumpa nafasi moja wapo kati zile nafasi zake za zawadi ili akakae mjengoni (bungeni) na kupiga usinginzi + comedy!
Wooooote hawana maanaa....wanatuchezea akili kama vile sisi ni watoto wa wadogo!
Huyu babu sasa atafanya kazi gani??Maana sioni wapi pakumuweka angalau amalizie siku zake zakuishi!!:doh::noidea: