Msanii uko sawa..Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
Anne Kilango WAZIRI - Mkapa's cabinet???????
toka lini????? Check your facts mkuu.Huyu hajawahi kuwa hata Mkuu wa wilaya.. alipewa ubunge wa kuteuliwa tu na hakupewa uwaziri.
Msaani bana!unajua niliongea kwa hasira sana pale hata data muhimu zikawa zinaniponyoka.
ila ukiondoa hiyo kasoro mengine niliyoyasema yanabaki vilevile kuwa huu ni mtego mwingine mchangani.
Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
Msanii uko sawa..
huyu mama hana lolote uropokaji tuuu na hata wamarekani ni mtego wamemtumia ili aropoke zaidi wapate wanachotaka...hakustahili uhalisia na maana ya hiyo tuzo ila kwa kuwa ni MKENGE wamempaa...mnawajua vema americans kwa politiks zao za kugawa na kusogea then kugeuka (no permanent friends, only permanent interest!!!)
CCM wenyewe wanamsikilizia tuuu ikifika wanamtosaaa kuleeee...
.............................................................................................
....."Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge". ............
Ni kweli msanii, ila hapo sijakuelewa kabisaa! je anatuhadaa tumuone yeye ni 100% au?
Sonara
Makamba anajua nani gangwe ndani ya chama.
Kwa taarifa yako mama Anne kilango ni mtego mwingine ambao jamii itauvaa mkenge. Nauliza ameongoka lini huyu mama? alikuwa waziri ktk kabinet ya mkapa na sijui kuna nini alifanya mpaka sasa. pia ninachunga na kuunganisha sana dots ktk kauli zake hasa bungeni. kuna orcle imejificha ktk utanashati wake. Anasema sana ila kuna vitu halisi vinamiss ktk kauli zake. kuna missinformations nyingi sana anazopenyeza kupitia speeches zake. Jiulize kwa nini akapewa na wamarekani ile zawadi ya mwanamwali wa shoka kwa nini asipewe TIBAIJUKA au marehemu Chifupa mabaye alitoa hata maisha yake kutumikia UMMA?
Nyie nyie kumbukeni kuna mti unaitwa MKENGE na huwa unaota pembezoni mwa njia. chunga sana baada ya kuchunguza.
Changia hoja bana acha blah blah ..Sisi tulichokuwa tinasubiria ni hii kauli ya Comical Ali wetu amwage hiyo anayoona ni hoja kumjibu Kilango..thats it! Matokeo yake tunaona tu kimyaaaa..Hayo mambo ya tuzo yatafutie thread mkuu...
Ila umejua kujichagulia jina! Maana ni Msanii kweli kweli! Hata hivyo, hongera kwa kukiri kosa. Umeonesha ukomavu.unajua niliongea kwa hasira sana pale hata data muhimu zikawa zinaniponyoka.
ila ukiondoa hiyo kasoro mengine niliyoyasema yanabaki vilevile kuwa huu ni mtego mwingine mchangani.
Ila umejua kujichagulia jina! Maana ni Msanii kweli kweli! Hata hivyo, hongera kwa kukiri kosa. Umeonesha ukomavu.
WoS asante kwa marekebisho, vinginevyo lilishakuwa goli.
I like JF!
Usiichukie nchi yako Mkuu!..Naipenda sana ila muda mwingi nalazimishwa kuichukia kutokana na tabia MBAYA zsizo za kimaadili za viongozi.
Msanii uko sawa..
huyu mama hana lolote uropokaji tuuu na hata wamarekani ni mtego wamemtumia ili aropoke zaidi wapate wanachotaka...hakustahili uhalisia na maana ya hiyo tuzo ila kwa kuwa ni MKENGE wamempaa...mnawajua vema americans kwa politiks zao za kugawa na kusogea then kugeuka (no permanent friends, only permanent interest!!!)
CCM wenyewe wanamsikilizia tuuu ikifika wanamtosaaa kuleeee...
...Imeandikwa mahala fulani kwamba shetani anaweza kuja kama malaika wa nuru hata watumishi wake wakaja kama watumishi wa haki.... upo hapo?
Usiichukie nchi yako Mkuu!
SWALI:wazazi wakawa wabaya hawajali, wanajipenda wao tu, nyumbani kukawa kubaya hakuvutii kama kwa jirani , utahamia kwa jirani?