Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,211
- 113,520
Huyu Mengi naye huyu....kweli idadi ya mafisadi wanaofilisi nchi haifiki 10? Halafu kwa nini kawa single out wale wenye asili ya Kihindi pamoja na Rostam? Vipi Mkapa? Vipi Chenge? Vipi Mahalu? Na wengineo wengi tu? Hivi tatizo Tanzania ni mafisadi tu? Vipi kuhusu uongozi?