KWANI MAKAMBA HATAWEZA KISOMA join date ya huyo karani?
Hii naamini ni kweli...Waajiri wengi hawapendi JF, maana wanajijua wenyewe na madudu yao!...
Cha kufanya kwasasa ni kumsaidia huyu dada apate kazi pahala pengine, ila awe makini na kutoa nyeti zaidi za MAKAMBA maana wanaweza kumfauatilia asipokuwa makini!...kama vp anaweza kumpelekea mtu yeyote hewani!...huh!
Tehe tehe....hapo sina usemi mimi. Umesearch wasukuma ni wezi lkn matokeo unapata wachagga ni wezi. Du, kweli wachagga wapo juu!:clap2:
nimebaki hoi!!! sasa nimekuelewa kumbe google imekudirect wezi ni akina nani?