Jumatano tarehe 19/1/2011 MAKAMBA aliingia ofisini yapata saa nne kasaro asubuhi.Fatuma Wenseslaus karani alikuwa bize akituma ujumbe kwenye komputa.Babu makamba kuchungulia akaona ilikuwa ni kwenye page ya jamii forum.
Makamba:unaandika nini?Fatuma:sio chochote huku akiifunga ile page kwa haraka.Makamba: fungua taja jina unalotumia hapo JF, Fatuma akagoma kwa sababu alishamponda bosi wake hapa JF.
Makamba akampa siku tatu yule dada ampe jina lake hapa Jf, niliwahi kuombwa na mtu anayefahamia fika na Fatuma nimpe jina langu au la memba nimjuaye nikashindwa manake memba wengi wameshamkwaruza makamba kwa hiyo jina langu lingemtapisha Makamba.Fatuma ameambiwa asizikaribie tena ofisi za makao makuu CCM
Makamba:unaandika nini?Fatuma:sio chochote huku akiifunga ile page kwa haraka.Makamba: fungua taja jina unalotumia hapo JF, Fatuma akagoma kwa sababu alishamponda bosi wake hapa JF.
Makamba akampa siku tatu yule dada ampe jina lake hapa Jf, niliwahi kuombwa na mtu anayefahamia fika na Fatuma nimpe jina langu au la memba nimjuaye nikashindwa manake memba wengi wameshamkwaruza makamba kwa hiyo jina langu lingemtapisha Makamba.Fatuma ameambiwa asizikaribie tena ofisi za makao makuu CCM