Paparazi Muwazi
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 310
- 79
Katibu Mkuu wa CCM, Makamba ameshtaki Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA, Halima Mdee kwa kumtuhumu kuwalinda watuhumiwa wa ufisadi. Bwana Makamba amewasilisha malalamiko hayo akirejea mchango wa Mbunge huyo alioutoa bungeni. Maelezo zaidi yatafuata
PM
PM