Nimefuatilia kwa karibu sana uwezo wa secretariat mpya ya ccm ,nilichoigundua ni kwamba tofauti kati yao na iliyokuwa secretariet ya Makamba(Sr) ndogo ni sana.Tulitarajia hii secretariet mpya ije na mbinu mmbadala za kujaribu kuwaeleza watanzania mikakati gani ya muda mrefu na muda mfupi ya kupunguza kero zinazokabili watanzania wote kwa ujumla. Badala yake kazi hiyo bado anachiwa mwenyekiti wa Chama Mheshimiwa JK . Naammini kabisa hii timu mpya muda si mrefu wana CCM wataanza kumkumbuka Makamba (Sr) na timu yake