Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Haaa haaa haaaa...! Toa kwanza kibanzi kwenye jicho lako kabla ya kuona ....kwa wenye mtindio wa ubongo ,I'm afraid you're one of them.
With your dam green thing all on you
Haaa haaa haaaa...! Toa kwanza kibanzi kwenye jicho lako kabla ya kuona ....kwa wenye mtindio wa ubongo ,I'm afraid you're one of them.
With your dam green thing all on you
CCM sasa inapumua kwa nguvu ya vyombo vya dola tu -- pasipo hivyo ni kwishnei. Itafika mahala hata hivyo vyombo vya dola vitashindwa kukisanifu chama hicho. Mfano wa huyo DC ni onyesho tosha la kushindwa kwa Takukuru kuisanifu CCM.
"Dk. Slaa si tishio kwa CCM ila ni tishio kwa mtu binafsi…hawezi kuwa tishio kwa chama. Nani alikuwa maarufu kama Mrema. "Santuri mpya ikitoka itachezwa katika nyumba mbalimbali lakini baada ya muda watarudia ya zamani," alisema Makamba.
Dk. Slaa ni moto wa mabua ambao huzimika baada ya dakika tano kama alivyozimika Mrema. Mtu ambaye tunamuogopa…tunayeweza kusema kuwa ni tishio ni Lipumba, maana yeye alikuwa wa pili katika uchaguzi uliopita," alisema Makamba.
Wadadisi wa mambo wanaelezea hatua ya Makamba kulazimika kumuweka Lipumba juu ya Dk. Slaa, hasa wakati huu ambapo mgombea huyo wa CHADEMA anaonyesha dalili za kuungwa mkono, ni jitihada tu za chama hicho kujaribu kumshambulia yule wanayemhofia kuwa na nguvu zaidi katika kipindi hiki.
Tumia lugha za heshima kwa watu wazima kanyaboya mkubwa we kwenu hakuna wazee nyambafu. Usirudie tena uozo kama huo nitakula na wewe sambamba kama MS nyani kasoro.Kitakachokuja kumpiga miti Slaa na wana-Chadema ni poor timing ya kumtangaza. Sasa hivi makundi yote yanayokwenda kwenye hizo mihadhara hawana hata kadi za kupigia kura. Iwapo angejitangza mapema, wakati ule wa ku-renew/re-register watu kibao wangechangamkia. Lakini kwa kuwa wengi walijua wimbo ni ule ule, kama ilivyo kawaida ya miaka ya nyuma, hawakusumbuka kujiandikisha.
Makamba is right. Yale makundi ya Mrema miaka ile, hakuna aliyetegemea matokeo yake October ile. I won't be surprised, and, in fact I am expecting,, a massive win for CCM this October.
Ningependa Dr Slaa mwenyewe ndiyo angemjibu Makamba namna hii. Lakini naamini kabisa kama kuna mdahalo kati ya Dr Slaa na YM, basi YM atapata tumbo la kuharisha kabla ya kuanza. YM ni mwanasiasa uchwara tu, anakweza kwa kujikombakomba tu kwa walio juu yake -- hana lolote!!!!!!!!!!!
Dk. Slaa ni moto wa mabua ambao huzimika baada ya dakika tano kama alivyozimika Mrema. Mtu ambaye tunamuogopa…tunayeweza kusema kuwa ni tishio ni Lipumba, maana yeye alikuwa wa pili katika uchaguzi uliopita," alisema Makamba.