Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
- Thread starter
- #21
Hii ni kufru na kibri cha hawa watu wanaopata madaraka kidogo ya kidunia na baadaye wanamsahau muumba.
Nakumbuka maneno hata aliwahi kutamka hata Nyerere katika moja ya birthday yake na kusema kuwa haoni sababu yeye asifikishe miaka 80. Je alifika?
Haya tumuone makamba naye? Tumuombee
umuombeaje mtu anaejiona mfu akiwa hai....ombea wale wagonjwa pale muhimbili na mahospital kwingineko uapate baraka...unajua kuna maombi mengine ya kuleta laana...ukimwombea makamba afikishe 80 wakati anataka 75 unashangaa anaanza mtoto...sasa bora umwombee anaetaka mia hata akifikisha 80 good...ama muombee BIBI YANGU BEST ANA 85 MI NAOMBA AFIKISHE TU MIA(100) MUNGU AATAKUTUPA KWENYE MAITAJI YAKO KWA MAOMBI HAYA..HUYU BIBI ANAWABARIKI WATU WOTE WANAOMWOMBEA HAI