We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Niliposoma habari hii, inaonyesha kuwa dhana ya Uchakachuaji bado ina nguvu ndani ya CCM. Ukweli kinachotafutwa hapo sasa ni zile siasa za kibabe na za kuonyeshana miraba minne. Kwa vile CCM ina nyenzo zote za uchakachuaji, (Nguvu ya Dola, na Pesa za Wafadhiri wake, mafisadi) uwezekano wa kuyafanya hayo yote upo kabisa.
MY TAKE: Katika moja ya post zangu, nilisema kuwa, kila siku kunapokucha, hawa waheshimiwa wanakuja na mambo ambayo yanaifanya Siasa ya Tanzania kuzidi kuwa tete, na kibaya zaidi, wananchi waliowengi, wameanza kuelimika na ukandamizaji huu wa kisiasa, na kwa maana hiyo uvumilivu unaanza kuwaisha. Narudia tena kusema, watu wakichoka na wakivumilia na kusema sasa basi, jamani hapata kalika hapa na hakuna atakaye kuwa salama. Chonde chonde CCM, busara itawale zaidi ktk siasa hizi zenye utandawazi mkubwa. Kama Urusi yalitokea mabadiliko, jamani sembuse Taznzania?
MY TAKE: Katika moja ya post zangu, nilisema kuwa, kila siku kunapokucha, hawa waheshimiwa wanakuja na mambo ambayo yanaifanya Siasa ya Tanzania kuzidi kuwa tete, na kibaya zaidi, wananchi waliowengi, wameanza kuelimika na ukandamizaji huu wa kisiasa, na kwa maana hiyo uvumilivu unaanza kuwaisha. Narudia tena kusema, watu wakichoka na wakivumilia na kusema sasa basi, jamani hapata kalika hapa na hakuna atakaye kuwa salama. Chonde chonde CCM, busara itawale zaidi ktk siasa hizi zenye utandawazi mkubwa. Kama Urusi yalitokea mabadiliko, jamani sembuse Taznzania?