Zwangedaba
Member
- Feb 1, 2009
- 99
- 25
Hapo Tanzania tunakwenda wapi sasa?! kwani hakuna pa kukibilia sasa.
Mjadala huu....!!! Kitu kimoja tu tujue ni kuwa Mtanzania yeyote ana haki ya kugombea nafasi yeyote ya uongozi wa nchi bila kujali baba au mama yake alikuwa nani. Tuwahukumu watu wa uwezo wao na sio kwa kuangalia ni watoto wa nani. Hili tuwe makini nalo sana. Japo napinga kwa nguvu mtu kutumia cheo chake kusafishia njia watoto au ndugu zake, vile vile napinga Januari au Mwamvita kuhukumiwa kwa kuwa tu ni watoto wa Makamba.
Mzee Makamba akae mbali na amwache Januari au Mwamvita waamue hatma yao kisiasa na sisi tuwahukumu kwa uwezo wao.
Hii ya kuwasema kwa kuwa ni watoto wa Makamba tunatenda dhambi kubwa ya ubaguzi (Judge people on the content of their character and not on who fathered them).
Kumbukeni pia huu ni wakati wa kuelekea kampeni na hivyo ni rahisi sana wagombea kutengenezeana stori. Kwa mfano tuna uhakika gani kuwa stori hii haijawa influenced na mmoja wa wagombea huko Bumbuli?
hata kama ni story ila kwa CCM ni kitu cha kawaidi sana Mfano Mwenyekiti wa UVCCM kwan ni nani? si mtoto wa Mzindakaya! kwani hatujui hilo Zitto?Mjadala huu....!!! Kitu kimoja tu tujue ni kuwa Mtanzania yeyote ana haki ya kugombea nafasi yeyote ya uongozi wa nchi bila kujali baba au mama yake alikuwa nani. Tuwahukumu watu wa uwezo wao na sio kwa kuangalia ni watoto wa nani. Hili tuwe makini nalo sana. Japo napinga kwa nguvu mtu kutumia cheo chake kusafishia njia watoto au ndugu zake, vile vile napinga Januari au Mwamvita kuhukumiwa kwa kuwa tu ni watoto wa Makamba.
Mzee Makamba akae mbali na amwache Januari au Mwamvita waamue hatma yao kisiasa na sisi tuwahukumu kwa uwezo wao.
Hii ya kuwasema kwa kuwa ni watoto wa Makamba tunatenda dhambi kubwa ya ubaguzi (Judge people on the content of their character and not on who fathered them).
Kumbukeni pia huu ni wakati wa kuelekea kampeni na hivyo ni rahisi sana wagombea kutengenezeana stori. Kwa mfano tuna uhakika gani kuwa stori hii haijawa influenced na mmoja wa wagombea huko Bumbuli?
hata kama ni story ila kwa CCM ni kitu cha kawaidi sana Mfano Mwenyekiti wa UVCCM kwan ni nani? si mtoto wa Mzindakaya! kwani hatujui hilo Zitto?
Baba yake Nyerere alikuwa chief, hiyo inapaswa kukuambia mfano wa nyerere haufai kwenye hoja yako. Kuwa mtot wa fulani katika nchi kama zetu kuna kupa nafasi ya kupata baadhi ya advantage amabazo wengine hawana, tukirejea mfano wako wa Nyerere yeye kuwa mtoto wa chief kulimuwezesha kupata elimu yake pale Tabora School amabpo kwa wakati huo elimu iliyotolewa ililenga kujenga tabaka fulani la viongozi, ndivyo ilivyo kwa January, kuwa mtoto wa Makamba kumemuwezesha kupata elimu nzuri na exposure vitu muhimu kwa uongozi kwa dunia ya sasa.
Mkuu kama unataka tuanze kubadilishana maneno machafu ni bora tutafute avenue nyingine na believe me ninaweza kufanya hivyo. Nina uhuru wa kuwa na maoni na si lazima yakupendeze wewe hiyo ndio kauli mbiu yetu hapa..where we dare to talk openly.
influence ipi hiyo anayosema maana hata katibu kata wa huko bumbuli hapatiFor your information, January doesnt need his dad's back on this, he can easily grab the constituency with his own influence. I think mzee Makamba is just being a parent, something that everyone would have done. Do you have anything against tyhis family?
influence ipi hiyo anayosema maana hata katibu kata wa huko bumbuli hapati
No Sir. i have nothing against nobody. Matter of fact i like the young to take over, according to the post the dad is doing all the work. It appears to be the case, January doesnt say anything.
If you ask me he is a tricky customer, what are his views on anything, he is going to run with a CCM ticket if anything we know what they represent. My argument are we breeding a future Fisadi or a politicians.
the difference between the two is, one is just happy to receive and enjoy life (ridhwani) and the other receives but questions (Zitto), so where is January going to stand.
unfortunately i dont know him (January) personally to answer your question but in any case for his dad to stand on his side i dont see anything wrong. Good that you dont have anything against their family but i smell prejudice on ''watoto wa vigogo''
The issue at stake is not whether someone is against the Makamba family or not but for the old man to use his good CCM office and position to propel his son to a political position is unethical in any society that advocates fairness and good governance. Mzee Makamba aache kwanza ang'atuke ukatibu mkuu wa CCM ndio hapo anaweza kuwapigia debe wanawe ili aanzishe political dynasty ya familia yake!! Huyu kijana January kapata ujiko wa kuwa msaidizi wa mkulu kiainaaina tu na leo ndio anapandikizwakuwa mwanasiasa mahili kuchuana na wakina Shelukindo? Acheni kuwafanya watu wajinga hao watoto wenu mwawapa hata hizo kazi si kwa uwezo bali kwa woga wenu na upendeleo.
influence ipi hiyo anayosema maana hata katibu kata wa huko bumbuli hapati