Wana JF na wana mageuzi wote mimi naona kama kuna shida kidogo ya kimawasiliano, kwa kuwa tangu jana ambapo makamanda wetu wamepelekwa mhimbili kwa kuumizwa na ccm hatuja pata updates isije ikawa tunapendana wakati wa uzima tu cc kama watanzania wapenda mabadiliko tungehitaji kujua wanaende hawa jamaa.
Kingine ambacho niliuliza ni matokeo ya udiwani katika kata zingine labda nilioverlook au niko sahihi, kwa kuwa ikiwa kata zilikkuwa 18 mbona ni kata saba tu ndizo tumepata matokeo yake? au niko wrong just let me know I need this information! natumaini watu wenye taarifa ikiwemo viongozi wetu watanijulisha mimi na watanzania wengine wanaosubiri kwa hamu kujua ni nini kinaendele
Kingine ambacho niliuliza ni matokeo ya udiwani katika kata zingine labda nilioverlook au niko sahihi, kwa kuwa ikiwa kata zilikkuwa 18 mbona ni kata saba tu ndizo tumepata matokeo yake? au niko wrong just let me know I need this information! natumaini watu wenye taarifa ikiwemo viongozi wetu watanijulisha mimi na watanzania wengine wanaosubiri kwa hamu kujua ni nini kinaendele