Makamanda Polisi Mikoa Arusha na Mbeya wateremshwa vyeo

Na ndicho alichofanya Andengenye, na ndicho kilichosababisha ahamishwe... Kule mwanzo (wakati wa mauaji), Andengenye alikuwa na miezi michache sana tokea amehamia Arusha, so Mwombeji alitumia mwanya huo...

Furaha ya wana wa Arusha ni kwamba Mwombeji siyo OCD wa Arusha tena. Amepelekwa mkoani kule ambako hakuna ulaji.
 
Asa,huu ni ufinyu wa mawazo wa mleta thread au,mbona huyo andengenye ni kama amepandishwa cheo vile,maana anaenda kuwa mkuu wa kitengo ndani ya jeshi la police,huoni ka mwenzio anazidi kupepea tu?

Inawezekana 'kicheo' amepanda mkuu, but hizo ni nafasi zisizo na 'ulaji' wala 'ujiko', so wanapewaga wanoko... Polisi wanafahamu kuwa bora mtu apewe u-OCD kuliko ukuu wa kitengo makao makuu..
 
Furaha ya wana wa Arusha ni kwamba Mwombeji siyo OCD wa Arusha tena. Amepelekwa mkoani kule ambako hakuna ulaji.

Ok!!!!!!!!

Sikulifahamu hili mkuu, na hili ndilo la kushangilia kwangu...
 
Sijui unamfahamu Andengenye kiasi gani Mkuu. Ila kiukweli huyu jamaa nimemfahamu kwa muda aliokuwa RPC Morogoro, sidhani kama ana kasoro kuwa IGP...

Namfahamu hata kabla hajawa RPC Moro, ndiyo maana nilisema kielimu amemzidi hata Mwema, lakini udhaifu aliouonyesha hapa Arusha unamnyima sifa ya kuwa IGP.
Ametumia mabavu kuwatesa na kuwatisha wana wa Arusha waliokuwa wanalilia haki yao iliyokuwa inaporwa na CCM.
Andengenye anafaa kuwa Mkuu wa Green Guard.
 
Asa,huu ni ufinyu wa mawazo wa mleta thread au,mbona huyo andengenye ni kama amepandishwa cheo vile,maana anaenda kuwa mkuu wa kitengo ndani ya jeshi la police,huoni ka mwenzio anazidi kupepea tu?

Jaribu kufuatilia na kuwaulizia askari polisi ndugu yangu Senetor watakueleza kabisa kwamba hakuna nafasi yenye neema katika jeshi la polisi kama ya RPC! Huko watu wanatengeneza mpunga wacha kabisa.

Sawa amepandishwa kuwa mkuu wa kitengo cha utawala na rasilimali lakini huko ofisi mpya ni sawa na jangwa hakuna deals zozote huko!
 
Last edited by a moderator:
Sijui unamfahamu Andengenye kiasi gani Mkuu. Ila kiukweli huyu jamaa nimemfahamu kwa muda aliokuwa RPC Morogoro, sidhani kama ana kasoro kuwa IGP...

Madudu aliyoyafanya Morogoro kwa kuiba kura za Regia (R.I.P.) na kumgawia Abdul Mteketa ndiyo iliyomfanya aletwe Arusha kumtuliza Lema, baada ya CCM kuona Basilio Matei ni mwana mabadiliko na anaiunga mkono CHADEMA.
 
Furaha ya wana wa Arusha ni kwamba Mwombeji siyo OCD wa Arusha tena. Amepelekwa mkoani kule ambako hakuna ulaji.

Hizi ni habari nzuri sana kwa wanarusha kama kweli huyu kibaraka wa magamba amehamishwa toka wilaya(OCD) na kwenda kusoma magazeti pale Naura.
 
Mkuu mi nadhani kumwajibisha IGP peke yake haitatosha pindi CHADEMA watakapochukua utawala wa Tanzania.
Jambo la msingi inatakiwa mfumo mzima wa jeshi la polisi ubadilishwe from the roots. Tukiwa na jeshi linalojitegemea, ambalo haliingiliani na siasa nadhani itakuwa bora zaidi.
Nina imani na CHADEMA, baada ya uchaguzi watafanya siyo tu reshuffle, bali kubadili mfumo ili uendane na mahitaji ya jamii!

Yeah ni lazima police force ifanyiwe marekebisho.polisi wetu wanatia huruma ila na wao wanajisahau kama wanapigika kama raia wengine.Niliwaambia polisi Geita kwamba wasikubali kutumiwa na mabosi wao vibaya.Waige mfano wa wenzao Misri

Niliwaambia waone haya kutumiwa na wakubwa zao vibaya kuumiza watanzania wenzao huku wao waki-share bunduki na risasi(vitendea kazi).the guys are hustling for real....


Problems of the Tanzania police as i see them;

1.Employing of illiterate (poor communicating skill= poor understanding= poor implementation of directives)
2. indiscipline (the police is made up of persons that have questionable character and have very little respect for the rule of law)
3. No clear guideline (when arresting or releasing a person)
4. Poor handing of equipment and guns (have a close look at the vehicles allocated to the police and compare them with Army, custom civil defense etc)
5. poor welfare (not salary increase)

Likely solution (just a few)

1. Training to be handled by expatriates (General training on handing of guns and rule of engagement, character, dressing, presentation etc)
2. weeding out (those that fail to meet up with the standard required of the job be move to other less demanding job such as prison service, fire service or show the way out)
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Huyu na Chagonja wajiandae kwenda exile 2015.Hakuna kitu kama truth and reconciliation kwenye uhai na damu ya watu iliyomwagwa.


hi bro!!
perfectly said but i doubt by exile you intended Keko or Segerea and mind you Segerea,Keko,Kisanga ecc are going to be the new domicile not only for those 2 you have mentioned but also for many tecnocrats and politicians who are currently banqueting our resorces - time will tell!!!!
 
Ben,
Hakuna kitu kinanikera sana kama kushuhudia watanzania wenzetu ambao wamekabidhiwa jukumu la kulinda na kudumisha usalama wa raia na mali zao, kujitoa akili na kuua ama kujeruhi wananchi wasio na hatia ili tu kuwafurahisha wanasiasa.

Na kuwawajibisha si suala la kulipa kisasi bali ni kuhakikisha askari polisi pamoja na watumishi wote wa umma wanawatendea kwa haki na usawa wananchi wote bila kutazama mafungamano ya mtu kisiasa.

Wale wanaokuona radical achana nao. Kuna mwalimu wangu mmoja alikuwa akitusisitizia mara kwa mara juu ya umuhimu wa mtu kuwa na ''Principles'' katika maisha. Whether ni nzuri ama ni mbaya hicho ni kitu kingine!!

Thanks comrade !
 
Utamkuta anakunywa chai pale PHQ ya kukorogwa na kalamu.

Mzee wa Rula,
Kwani pale PHQ hawanaga maWP wa kuwaandalia chai hadi wajikorogee wenyewe kwa kalamu?

Nilikwenda pale trafiki makao makuu nikakuta wameajiri maWP ''watamu'' kweli kweli. Inakuwaje HQ wakosekane?
 
Last edited by a moderator:
Kamanda ni kweli kabisa, kwani uchaguzi uliopita 2010 line polisi kituo walichopigia kura familia za polisi (Kituo cha Mount Meru Hosp. Arusha) CHADEMA walipata kura nyingi sana.
Kivitendo polisi hatuko nao, ila ukweli wanaunga mkono mabadiliko. Tatizo kwa Polisi na Jeshi lipo kwa viongozi wao!


Polisi wana tatizo kama la waandishi wa habari, na haya maelezo yanathibitisha hilo. Yaani unaishi maisha schizophrenic, au niseme split personality: maelekezo ya kazi yanakua na hadidu za rejea hizi huku, na lazima uzitii, wakati nayo roho yako inakuwa na hadidu za rejea za kwake, na unataka kuzitii hizo pia. Inakuwa shuhuli kwelikweli!
 
Kama habari hizi zikawa kweli kwamba Andengenye kuwa IGP, na kama ikitokea hivyo kabla ya 2015, basi CCM wasahau kulitumia jeshi la polisi kulazimishia matokeo. mark my words.
 
Thanks comrade !

Tuko pamoja kamanda.
Ninakubaliana na mapendekezo yako juu ya jeshi la polisi.
Observation zako ni za kweli hata recommendations zako zinaweza kuboreshwa kidogo kwa kuongezea na nyengine ili hatimaye tuwe na jeshi la polisi la wananchi wote wa Tanzania.

Nafiki kuna haja pia ya kulibadilisha jina, huenda kuitwa jeshi ndilo tatizo la msingi. Muda wote wanafikiria vurugu, kupiga virungu, risasi, mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.

Nadhani tuiite huduma ya polisi (Police service) kama ilivyo South Afrika. Kenya nao wamelibadili jeshi lao la polisi kuwa huduma ya polisi.
 
Mzee wa Rula,
Kwani pale PHQ hawanaga maWP wa kuwaandalia chai hadi wajikorogee wenyewe kwa kalamu?

Nilikwenda pale trafiki makao makuu nikakuta wameajiri maWP ''watamu'' kweli kweli. Inakuwaje HQ wakosekane?

Polisi zamani walikuwa wana recruit Ma-WP wenye sura ngumu kweli! lakini siku hizi wanashindana na Lundenga kuchagua warembo.
Shughuli ipo!
 
Back
Top Bottom