Makamanda nishati na madini kiboko

WWP

New Member
Sep 12, 2012
2
1
Wana JF napenda kusema ya moyoni. Hivi ni kweli tulikuwa tunateseka wadanganyika kwa mgao bandia wa umeme? Mbona tangu wachukue wizara hawa jamaa hatuoni tena mgao isipokuwa kama kuna hitilafu ya mitambo au njia? Kama huu ndio ukweli, kuna haja kwenye katiba mpya tupitishe kunyongwa wahujumu uchumi kama hao. Karagabahooooooooooooo.
 
Wana JF napenda kusema ya moyoni. Hivi ni kweli tulikuwa tunateseka wadanganyika kwa mgao bandia wa umeme? Mbona tangu wachukue wizara hawa jamaa hatuoni tena mgao isipokuwa kama kuna hitilafu ya mitambo au njia? Kama huu ndio ukweli, kuna haja kwenye katiba mpya tupitishe kunyongwa wahujumu uchumi kama hao. Karagabahooooooooooooo.

hakuna wakumnyonga mwenzake ndani ya ccm, hakuna , Hakuna , hakuna.
Chama cha wahuni ccm, kila alioko kule muhuni wa aina yake.
 
yaani tanesco kidogo pamenyooka kwakweli nawapongeza sana waendelee ivyoivyo
 
inakuwaje mteja anakaa miaka kumi bila kulipia umeme
inakuwaje nguzo zinazotoka hapo Mufindi tunauziwa sh 1000,000?
Mungu mwema kwa kumweka kiongozi asie mwanasiasa Tanesco
tunataka mabadiliko zaidi umeme haupaswi kukatika
 
Ukikaa chooni kwa muda mrefu hasa za uswahilini lazima unuke mavi hivyo walio wasafi ndani ya CCM wana nuka mavi pia...
 
wajirekebishe kwenye bei zao hawa tanesco,wanatuumiza sana kwenye bei ya unit moja ya umeme na ndo maana mi naona hata hao wanaoiba ni sawa tu kwani kiuhalali huwezi kumudu gharama zao,waziri mwenye dhamana na hii wizara ajaribu kurekebisha hii ki2 kwani inatukwaza sana watanzania na ndo maana kesi za wizi ni nyingi sana
 
Back
Top Bottom