MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,603
Jamaa alikuwa na matatizo mengi akaona hana pa kutokea isipokuwa kujitoa maisha. Akapanda ghorofa ya kumi ili ajitupe. Akiwa anachungulia chini, akamwona mtu hana mkono hata anatabasamu, meno nje. Lile lilimpa moyo na kuona lake sio kubwa kuliko yule jamaa, pamoja na kukosa mikono alikuwa na furaha.
Aliteremka haraka haraka. Alipomfikia akamwuliza, "kipi kinachokufanya utabasamu licha ya hali yako?
Wala usifikiri ninatabasamu, ninavumilia maumvu, hapa nilipo ****** yananiwasha, kujikuna siwezi - yule jamaa akajibu
Aliteremka haraka haraka. Alipomfikia akamwuliza, "kipi kinachokufanya utabasamu licha ya hali yako?
Wala usifikiri ninatabasamu, ninavumilia maumvu, hapa nilipo ****** yananiwasha, kujikuna siwezi - yule jamaa akajibu