Makalio na mapaja makubwa ni bora kwa afya

M-bongotz

JF-Expert Member
Jan 7, 2010
1,734
405
Wadau katika pekua pekua zangu nimekutana na hii.....eti..

Makalio na Mapaja Makubwa ni Bora Kwa Afya

3917698.jpg

Wednesday, January 13, 2010 4:44 AM
Wanawake wenye makalio makubwa na mapaja makubwa kama vile Beyonce na Jeniffer Lopez wana uwezekano mdogo sana wa kupata magonjwa ya moyo na kisukari kulinganisha na wanawake wenye makalio madogo, matokeo ya utafiti wa wanasayansi nchini Uingereza umeonyesha. Wanasayansi wa nchini Uingereza waliofanya utafiti wao katika chuo kikuu cha Oxford University wamegundua kuwa makalio makubwa yana faida kubwa zaidi kiafya kuliko matumbo makubwa (vitambi).

Utafiti umeonyesha kuwa makalio na mapaja makubwa huhifadhi mafuta ambayo husaidia mwili kujilinda na magonjwa ya kisukari na magonjwa ya moyo.

"Mafuta ya kwenye makalio na mapaja ni bora kwa afya lakini mafuta mengi ya kwenye tumbo si mazuri kiafya", alisema Dr Konstantinos Manolopoulos, mmoja wa watafiti watatu walioshiriki kwenye utafiti huo ambao matokeo yake yalichapishwa kwenye jarida la International Journal of Obesity.

Watafiti hao walisema kwamba mafuta ya kwenye tumbo hutoa tindikali nyingi za mafuta zenye madhara kwa mwili wakati mafuta ya kwenye makalio na mapaja huzuia tindikali za mafuta zenye madhara kuingia kwenye misuli na maini na hivyo kuuepusha mwili na magonjwa ya kisukari na magonjwa ya moyo.

Ingawa mafuta ya kwenye makalio na mapaja huyeyuka taratibu sana lakini mafuta hayo hutoa homoni zenye faida zijulikanazo kama adiponectin ambazo huilinda mishipa ya damu na kusimamia kiwango cha sukari mwilini.

Wanasayansi hao walisema kuwa wanaendelea na utafiti ili kutengeneza dawa za kuufanya mwili uhifadhi mafuta yake kwenye makalio na mapaja ili kupunguza matatizo ya kiafya yanayosababishwa mafuta kujazana kwenye tumbo.

Utafiti huo ulimalizia kwa kusema kuwa wanawake wenye mapaja au makalio madogo sana wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata matatizo kadhaa ya kiafya kama vile kisukari na magonjwa ya moyo.

SOURCE:http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3917698&&Cat=7
 
mhhhh
hii itasababisha matatizo makubwa sana.
kutatokea MIJIKALIO na MIJITAKO ya ajabu sana.
maana juzkati nilkua pale mwenge jioni hivi nangoja bus, ilinilazimu kukaa zaidi ya lisaa limoja nikithaminisha jinsi wachina wanavyoharibu dada zetu kwa madawa yao ya ajabu, yani we acha tu. siku hizi kina dada makalio ni fasheni au????????
 
Mchina atatajirika sasa ingawa hao watakaovimbisha makalio yao na MCHINA ndo watapata madhara zaidi lkn hawatajali hiloo. Mh! na hao Models sasa watakimbilia CHINA akina Naomi Campbell?. Ghafla ikatokea preference ya wanaume wa kiafrika ikabadilika na kuanza kuthamini vimodo hawa wenye makalio wataenda clinic kuyatoa au?
 
Wadau katika pekua pekua zangu nimekutana na hii.....eti..

Makalio na Mapaja Makubwa ni Bora Kwa Afya
3917698.jpg

Wednesday, January 13, 2010 4:44 AM
Wanawake wenye makalio makubwa na mapaja makubwa kama vile Beyonce na Jeniffer Lopez wana uwezekano mdogo sana wa kupata magonjwa ya moyo na kisukari kulinganisha na wanawake wenye makalio madogo, matokeo ya utafiti wa wanasayansi nchini Uingereza umeonyesha. Wanasayansi wa nchini Uingereza waliofanya utafiti wao katika chuo kikuu cha Oxford University wamegundua kuwa makalio makubwa yana faida kubwa zaidi kiafya kuliko matumbo makubwa (vitambi).

Utafiti umeonyesha kuwa makalio na mapaja makubwa huhifadhi mafuta ambayo husaidia mwili kujilinda na magonjwa ya kisukari na magonjwa ya moyo.

"Mafuta ya kwenye makalio na mapaja ni bora kwa afya lakini mafuta mengi ya kwenye tumbo si mazuri kiafya", alisema Dr Konstantinos Manolopoulos, mmoja wa watafiti watatu walioshiriki kwenye utafiti huo ambao matokeo yake yalichapishwa kwenye jarida la International Journal of Obesity.

Watafiti hao walisema kwamba mafuta ya kwenye tumbo hutoa tindikali nyingi za mafuta zenye madhara kwa mwili wakati mafuta ya kwenye makalio na mapaja huzuia tindikali za mafuta zenye madhara kuingia kwenye misuli na maini na hivyo kuuepusha mwili na magonjwa ya kisukari na magonjwa ya moyo.

Ingawa mafuta ya kwenye makalio na mapaja huyeyuka taratibu sana lakini mafuta hayo hutoa homoni zenye faida zijulikanazo kama adiponectin ambazo huilinda mishipa ya damu na kusimamia kiwango cha sukari mwilini.

Wanasayansi hao walisema kuwa wanaendelea na utafiti ili kutengeneza dawa za kuufanya mwili uhifadhi mafuta yake kwenye makalio na mapaja ili kupunguza matatizo ya kiafya yanayosababishwa mafuta kujazana kwenye tumbo.

Utafiti huo ulimalizia kwa kusema kuwa wanawake wenye mapaja au makalio madogo sana wana uwezekano mkubwa zaidi wa kupata matatizo kadhaa ya kiafya kama vile kisukari na magonjwa ya moyo.

SOURCE:http://www.nifahamishe.com/NewsDetails.aspx?NewsID=3917698&&Cat=7[/QUOTE

hao ndo umeona wana mata.ko?
 
We mziwanda wewe hiyo habari nimeiquote tu toka kwenye chanzo kingine, si mimi bali ni wao ndio walioandika Beyonce au Jeniffer Lopez, kwani hujaona source mwisho wa hiyo habari.
 
mhhhh
hii itasababisha matatizo makubwa sana.
kutatokea MIJIKALIO na MIJITAKO ya ajabu sana.
maana juzkati nilkua pale mwenge jioni hivi nangoja bus, ilinilazimu kukaa zaidi ya lisaa limoja nikithaminisha jinsi wachina wanavyoharibu dada zetu kwa madawa yao ya ajabu, yani we acha tu. siku hizi kina dada makalio ni fasheni au????????
sio kila **** ni la mchina kaka!! dada zetu wamebarikiwa atii!! mengi tu ni yaukweli kabisa.......lol!!
 
We mziwanda wewe hiyo habari nimeiquote tu toka kwenye chanzo kingine, si mimi bali ni wao ndio walioandika Beyonce au Jeniffer Lopez, kwani hujaona source mwisho wa hiyo habari.

sos nimeiona ila na wewe inabidi habari uicustomize iendane na mazingira halisi. ukija bongo, JLO na BEYONCE ni vimodo tu
 
kweli dongo unapenda sana haya mambo.
kuanzia avator yako hadi post zako.
weee ni kiboko ya hii kitu
3917698.jpg
 
yani sijui miaka ijayo watanzania watakuwa kwenye wakati mgumu wakujua vifaa feki na org na kumjua mwanamke feki na org mungu saidia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom