THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Mwanamke nyonga(hips) kaka, masuala ya makalio ni majaliwa...ila usafi unahusika sana kiongozi...unaweza fungua kitabu ..ukapeleka shingo pembeni..hiyo harufu...mfereji haujasafishwa muda....
za magono kaka!mi napita tuu!Kalio ni VAS yaani Value Added Service. linaongeza thamani ya Mwanamke hata km Sura mbofu mbofu lkn una kalio la Haja huwezi kudoda mtaani
kama fimbo ni fupi mno ,ukichapa lazima idunde.ha ha ukweli ndo huo,mnataka hayo makalio makubwa mna uwezo wa kuyahimili na kuwaridhisha wahusika,ama mnajiangalia tu mnataka nini na vitu gani vitawaridhisha,,kuleni usawa wa kamba zenu!
Hivi kwa nini wanawake wanachoma sindano za silicon ili kukuza makalio yao? Wengine wanatumia mpaka dawa za Kichina kuongeza saidi ya makali? Mpaka inafikia wakati wanawake wananunua nguo special zilizotengenezwa maalum kuongeza ukubwa wa makalio? Secretary wangu anasema eti wanafanya hivyo ili kuongeza shepu zao kuwavutia wanaume. Anadai eti wanaume hupenda makalio makubwa kwa sababu ya kuyashikashika na wakati mwingine kuyapigapiga wakati wa tendo la ndoa. Wengine wanasema makatio ni station ya kutengeneza joto linalowafanya wanaume waone kama wako peponi wakati wa tendo hili. Mimi siamini haya. Wenye utajiri wa makalio watupe data.
Kongosho huwa unawaza mbali sana.
wenye pasi zetu tupo kimyaaaaaaaa, ngoja nichungulie tu pembeni!eheee....tutake radhi Penelope!
mh...vp kuhusu breki..maana huwa zinaishiwa nguvu kwa haya makitu...
ahahhahahaahhahahhahahhahhaah watajibeba!pasi kasema nani?chezeya wake wa muheshimiwa Da .......................... wewe!wenye pasi zetu tupo kimyaaaaaaaa, ngoja nichungulie tu pembeni!
umeanza snowhite! mzima lakini? kwi kwi kwi, siku hizi limepungua, ni pasi lol, mwalimu wao upo?ahahhahahaahhahahhahahhahhaah watajibeba!pasi kasema nani?chezeya wake wa muheshimiwa Da .......................... wewe!
WAKUWACHEEEEEE!