THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,373
- 12,822
asee ebu wekamo linki na mi niende?
mambo ya kikubwa utayaweza??
Utapofuka macho mkuu
asee ebu wekamo linki na mi niende?
mambo ya kikubwa utayaweza??
Utapofuka macho mkuu
story zingine bana, kama dasa la 3A
Hahaha na kweli labda huu uzee macho yameanza kufifia ila hata kupapasa ntashindwa kweli? Ng'ombe hazeeki maini bana
Ungemsaidia briefcase yake ile.. Si unajua zile zao zile? Lol
Makalio makubwa kama nje inahuu. Sie tuliopigwa pasi sony wega ndo tukimbilie wapi sasa?
aiseeeeee babaangu natamani anayechoma sindano na kutumia madawa ya kichina kuondeza makalio avimbe kichwa badala ya makalio
Kalio kubwa linavutia likiwa limesitirika na nguo tu, ngoja awe mtupu, na usiombe na mtindi uwe kama vibuyu vya unyakyusani, dooo!!!
Kalio kubwa linavutia likiwa limesitirika na nguo tu, ngoja awe mtupu, na usiombe na mtindi uwe kama vibuyu vya unyakyusani, dooo!!!
Hahahaaaaa........ Umeniacha hoooiii..!!
Ndio maana yake..........
Na hivyo vibuyu vya unyakyusani vinakuwaje? Mie sivijui..!!