George Maige Nhigula Jr.
JF-Expert Member
- Mar 14, 2008
- 470
- 149
makala yamemalizika! yalikuwa makala mazuri maana yamekusanya taarifa muhimu kuhusu sakata Richmond na Dowans. Hii radio kume iko wealth kusikilizwa. wamezungumza bila kumng'unya na kutukumbusha neno kwa neno! kumbe frequency yao ni 98.0
Shukrani Mwanalugali kwa kutupasha habari muhimu kama hii